Wizara ya mambo ya ndani iwaangalie graduates kwa jicho la huruma

Wizara ya mambo ya ndani iwaangalie graduates kwa jicho la huruma

Moshie

Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
33
Reaction score
19
Mtaani kuna graduates wengi sana
wenye elimu ya vyuo vikuu.Kinachouma na kuumiza ni pale hizi ajira za wizara ya mambo ya ndani(polisi,magereza ,uhamiaji na zimamoto) kuwabagua vijana wenye elimu za shahada.Vijana wadogo wenye elimu za kidato cha NNE wanaajiriwa wenye shahada wanaachwa hii inapelekea vijana wenye shahada kudhalaurika kupelekea kushuka thamani ya elimu hapa tanzania.

Naiomba wizara ya mambo ya ndani na serikali ya Tanzania iwaajiri hata hawa graduates kwani wapo tayari hata kulipwa mishahara ya constable/private. Kwani kuna nini mukiwaajiri na kuwaacha wawe na vyeo vya chini kabisa( constable)

Maana Leo 21/09/2021 nimeona mh waziri akishukuru kwa kupewa nafasi za magereza , uhamiaji , zimamoto na fire ila nafasi karibu zote ni za kada ya constable !! Jamani kwani hakuna wenye degree wanaopenda kuwa constable was polisi , fire , magereza au uhamiaji ?? Msitenge wenye degree miaka inazidi kwenda wanazeeka na kupoteza sifa za kuajiriw kwenye sekta za ulinzi na usalama ukizingatia ni miaka mingi ajira hazijatoka. Kuna vijana wapo JKT ni mwaka wa 4 sasa wanajitolea.vijana hao wameingia jkt na elimu za shahada waende wapi??

NAPENDA NCHI YANGU , NAWAPENDA VIONGOZI WANGU ,,, MUNGU AWABARIKI NA KUENDELEZA VEMA TAIFA
LETU
 
Mtaani kuna graduates wengi sana
wenye elimu ya vyuo vikuu.Kinachouma na kuumiza ni pale hizi ajira za wizara ya mambo ya ndani(polisi,magereza ,uhamiaji na zimamoto) kuwabagua vijana wenye elimu za shahada.Vijana wadogo wenye elimu za kidato cha NNE wanaajiriwa wenye shahada wanaachwa hii inapelekea vijana wenye shahada kudhalaurika kupelekea kushuka thamani ya elimu hapa tanzania.

Naiomba wizara ya mambo ya ndani na serikali ya Tanzania iwaajiri hata hawa graduates kwani wapo tayari hata kulipwa mishahara ya constable/private. Kwani kuna nini mukiwaajiri na kuwaacha wawe na vyeo vya chini kabisa( constable)

Maana Leo 21/09/2021 nimeona mh waziri akishukuru kwa kupewa nafasi za magereza , uhamiaji , zimamoto na fire ila nafasi karibu zote no za kada ya constable !! Jamani kwani hakuna wenye degree wanaopenda kuwa constable was polisi , fire , magereza au uhamiaji ?? Msitenge wenye degree miaka inazidi kwenda wanazeeka na kupoteza sifa za kuajiriw kwenye sekta za ulinzi na usalama ukizingatia ni miaka mingi ajira hazijatoka. Kuna vijana wapo JKT ni mwaka wa 4 sasa wanajitolea.vijana hao wameingia jkt na elimu za shahada waende wapi??

NAPENDA NCHI YANGU , NAWAPENDA VIONGOZI WANGU ,,, MUNGU AWABARIKI NA KUENDELEZA VEMA TAIFA
LETU
Daaah kwaio unamaanisha uhamiaji,fire na magereza nao wanaweza kutoa post afu kingine ht kwa elimu ya form4 na form6 wanawabagua wenye ufaulu wa juu
 
Sina hakika , Ila inaweza ikawa hivyo sababu wanahitaji makonsitebo kwa vyombo vyote hivyo( magereza, fre na uhamiaji ).Na makonsitebo Mara nyingi wanachukua wenye elimu y form 4 . Graduate waliopitia JKT sijui wataenda wap? Ukiangalia polisi nafasi nyingi zilikuwa kwa form 4 tena waliomaliza kuanzia 2015-2020.Wachukue hata graduate ili nao Wade hata makonsitebo was uhamiaji, magereza au fire.Hizi ajira zinamda mrefu hazikutoka.Kwa hiyo vijana wengi umri umesonga na wanatamani kupata hizi nafasi
Yan hapo LA kwa magereza kwakuwa post zao huwa zipo general ila uhamiaji na fire constable Mara nyingi huwa n form4 aise
 
Mshara wa graduate MMOJA wastani unalipa form four wa wili na CHENJI inabaki.
je, ukiajiri graduate 500_ hapo unanguvu kazi ya Form four wangapi?

Kusoma Sana siyo kuajiriwa. Bali kusoma Sana ni fursa ya Msomi kutengeneza ajira Kwa wachini yake.
 
Mshara wa graduate MMOJA wastani unalipa form four wa wili na CHENJI inabaki.
je, ukiajiri graduate 500_ hapo unanguvu kazi ya Form four wangapi?

Kusoma Sana siyo kuajiriwa. Bali kusoma Sana ni fursa ya Msomi kutengeneza ajira Kwa wachini yake.
Tatizo hujaelewa alichouliza mwenzako elewa kinachozungumziwa ndo ukoment
 
Divide and Rule.....

Yaani wote Watanzania mnaanza kubaguana ni nani apate kipato na nani asipate na sio kufikiria ni vipi kila mtu atapata kipato ?

Kweli Things have Fallen Apart... The Center is no Longer Holding
 
CCM na watawala madiktekta hawataki kuajiri wenye uwezo wa kureason jambo na kufuata sheria, Form four waliofeli kwao hakuna jambo kama hilo, wao wanapelekwa kama nyumbu na hakuna anayewajibika!

Mageuzi ya TanPol liwe jeshi linaloheshimika yatafanywa na kundi kubwa la wasomi na wale wenye elimu ya kati.
Sanuka!
 
Mtaani kuna graduates wengi sana
wenye elimu ya vyuo vikuu.Kinachouma na kuumiza ni pale hizi ajira za wizara ya mambo ya ndani(polisi,magereza ,uhamiaji na zimamoto) kuwabagua vijana wenye elimu za shahada.Vijana wadogo wenye elimu za kidato cha NNE wanaajiriwa wenye shahada wanaachwa hii inapelekea vijana wenye shahada kudhalaurika kupelekea kushuka thamani ya elimu hapa tanzania.

Naiomba wizara ya mambo ya ndani na serikali ya Tanzania iwaajiri hata hawa graduates kwani wapo tayari hata kulipwa mishahara ya constable/private. Kwani kuna nini mukiwaajiri na kuwaacha wawe na vyeo vya chini kabisa( constable)

Maana Leo 21/09/2021 nimeona mh waziri akishukuru kwa kupewa nafasi za magereza , uhamiaji , zimamoto na fire ila nafasi karibu zote ni za kada ya constable !! Jamani kwani hakuna wenye degree wanaopenda kuwa constable was polisi , fire , magereza au uhamiaji ?? Msitenge wenye degree miaka inazidi kwenda wanazeeka na kupoteza sifa za kuajiriw kwenye sekta za ulinzi na usalama ukizingatia ni miaka mingi ajira hazijatoka. Kuna vijana wapo JKT ni mwaka wa 4 sasa wanajitolea.vijana hao wameingia jkt na elimu za shahada waende wapi??

NAPENDA NCHI YANGU , NAWAPENDA VIONGOZI WANGU ,,, MUNGU AWABARIKI NA KUENDELEZA VEMA TAIFA
LETU
Tatizo vijana hawajui kutafuta ajira. Mtu anataka form 4 na wewe una degree, tatizo liko wapi? Si unaonesha cheti cha form four tu. Kwanini kuji aggrandise kuwa una degree ambayo itakutupa nje ya ulingo.
 
Tatizo wakihitaji form for four , watakwambia eliemaliza kuanzia 2016, 2017, 2018, 2019 ,2020 sasa wewe ukitoa cheti chako cha form 4 utakuta umemaliza 2012 au 2013.
Hapa ndo changamoto
 
Mshara wa graduate MMOJA wastani unalipa form four wa wili na CHENJI inabaki.
je, ukiajiri graduate 500_ hapo unanguvu kazi ya Form four wangapi?

Kusoma Sana siyo kuajiriwa. Bali kusoma Sana ni fursa ya Msomi kutengeneza ajira Kwa wachini yake.
Kwani mshahara wa graduate polisi ni kias gan had wanawakwepa degree holders
 
G
Kwani wakichukua hawa graduate na kuwalipa mishahara kutokana na cheo cha awali ambacho Ni constable kuna shida gan?sababu hata kama una degree ni lazima uwe constable kwanza.Sasa kwa nini wasiwachukue wakawe makonstable halafu kwa miaka kadhaa mbele kukiwa na uhitaji wa graduate wakawapigishe kozi wao kuliko kuwaacha maana kwa vijana walio makambi ya jkt na wenye degree wengi wao wamemaliza form 4 chini ya mwaka 2012 na chuo Ni mwaka 2018 then wakajiunga na jkt mwaka 2019.Ajira zinatoka 2021.Kama Ni graduate akiomba nafasi ya constable mpeni tu ,,, na mshahara apewe kwa ngazi ya constable.Maana vijana wanataka
Graduate yoyote akiingia jeshi lazima aanzie level ya constable, je mshahara wake unakuw ni wa level hiyo au kwa kuw ni graduate analipwa mshahara tofauti?
 
G
Graduate yoyote akiingia jeshi lazima aanzie level ya constable, je mshahara wake unakuw ni wa level hiyo au kwa kuw ni graduate analipwa mshahara tofauti?
Graduate yeyote wa polisi anamshahara wake na pia wamegawanyika kuna tofauti ya mshahara kwa waliosoma kozi za science na walio soma kozi zingine
 
G
Graduate yoyote akiingia jeshi lazima aanzie level ya constable, je mshahara wake unakuw ni wa level hiyo au kwa kuw ni graduate analipwa mshahara tofauti?
Huwa wanawalipa kulingana na elimu uliyonayo wote mnaweza kuwa n constable lkn mshahara wa form4 na graduate mwenye degree uko tofauti hii n kwa majeshi yote yaliyo ndan ya wuzara ya mambo ya ndani
 
Hii n jumla na professional allowance mn graduate lazima alipwe na professional allowance.
Samahan kwa kuuliza tena boss, hiyo 960k umesema ni pamoja na professional allowance, my qn is professional allowance inakuwa sawa kwa wote au ina vary? Na kuna ambao wanapata zaidi ya hiyo?

Pili sina uzoefu sana kwa polisi ila Kwa nnavyoona pia naona kuna utofauti mkubwa kati ya JWTZ na majeshi mengine kwenye upandaji wa vyeo..naona kama JWTZ kupanda vyeo ni haraka zaidi ila polisi hata kama una elimu nzuri unaweza sota miaka au inakuaje hapo?Kama unaufahamu tafadhali nielimishe kwa hili

Tatu, kwa jeshi kama polisi, kuna nafasi ya kuendeleza professional yako ukiingia huko yan wakakuruhusu kwenda kusoma au itategemea na uhitaj wao zaidi?
 
acha kulia lia jeshi lipeleke wapi wasomi.wasomi mkawe mainjinia huko mjenge mabarabar ambuni miradi mjiajiri si mmesoma nyie .acheni majeshi ni ya wasiosoma
 
Nchi yetu sera nyingi sanaa alafu siasa nyingi....hii nchi kuja kuendelea mpaka millennium elfu 10 zipite serious jamani....unakaa mtwara intaview dodoma na Mia nyekundu huna mfukoni..hii serikali inaenda resi sana
 
Sio kila aliesoma elimu ya juu alipenda afike huko hapana.Wakati mwingine mifumo ya maisha inaforce ufike huko.Mfano; Kuna jirani yetu hapa , kwa sasa yupo Kujitolea huko, yeye alipomaliza form 4 alitamani awe polisi lakini kipindi hicho hakukuwa na nafasi zozote za polisi na hata kama zingekuepo ingekuwa ngumu sana kupata kwa sababu tofautitofauti akiachilia mbali umaskini.Dogo akaamua kwenda form five na alipofika form six kuna ajira zilitokea dogo akaomba huku akisemea moyo nikipata hii nafasi nitaacha shule!! Kwa bahati mbaya dogo akakosa !!! Alipomaliza form six alipata division one , lakini hakupenda kwenda chuo sababu life kwao lilikuwa gumu kwa bahati mbaya baada ya kumaliza form six hakupata issue yeyote iliomuinguzia hata elfu 80 kwa mwezi. Matokeo ya form 6 yalivyotoka alipata division one na mkopo akapata 91% basi dogo huyu hakuwa na jinsi ikabidi aende kusomea Ualimu ili aje kuajiriwa chap lakini baada ya kuhitimu alikaa mtaani mwaka mzima bila ya kupata issue yeyote yamaana.Aliomba omba vikazi shule za private ikawa ngumu basi akaamua kufanya Nazi za viwanndan akawa analipwa elfu 30- 40 per 2 weeks tena ukikosa kwenda siku moja pesa inapunguzwa. Siku zikasonga dogo akakomaa mpaka zikatokea nafasi ambazo zinahitaji uzalendo na kutolea kimwili na kiakili ( nafasi za JKT ) basis dogo akajiunga JKT ,,, SASA AJIRA ZINATOKA ZINAHITAJI SANA WA FORM 4 HAZITAKI DEGREE !!! UKUMBUKWE DOGO NA DEGREE YAKE ALIWAHI FANYA KAZI YA ELFU 30 KWA WIKI 2 ,, ALIWAHI OMBA NAFASI ZA UALIMU AKAKOSA !!! Dogo anazidi kuzeeka umri unakwenda anakosa soda za kuajiriwa na akicheki alisomeshwa na serekali ana deni so chini ya mil 12
Hapa dawa n kuomba kwa cheti cha form4 tu au form6 yani degree pressure tupu nafasi za police hz degree wanahitajika watu 50 na wameitwa kweny usail watu 700
 
Hii n jumla na professional allowance mn graduate lazima alipwe na professional allowance.
Kaka nimekwambia kabisa mshahara unatofautiana kaka kama wewe ni doctor yaani MD unalipwa 1.5 milioni ,kwa aliesoma IT au Engineering 990000 na kwa degree za art ni 860000
 
Back
Top Bottom