Mtaani kuna graduates wengi sana
wenye elimu ya vyuo vikuu.Kinachouma na kuumiza ni pale hizi ajira za wizara ya mambo ya ndani(polisi,magereza ,uhamiaji na zimamoto) kuwabagua vijana wenye elimu za shahada.Vijana wadogo wenye elimu za kidato cha NNE wanaajiriwa wenye shahada wanaachwa hii inapelekea vijana wenye shahada kudhalaurika kupelekea kushuka thamani ya elimu hapa tanzania.
Naiomba wizara ya mambo ya ndani na serikali ya Tanzania iwaajiri hata hawa graduates kwani wapo tayari hata kulipwa mishahara ya constable/private. Kwani kuna nini mukiwaajiri na kuwaacha wawe na vyeo vya chini kabisa( constable)
Maana Leo 21/09/2021 nimeona mh waziri akishukuru kwa kupewa nafasi za magereza , uhamiaji , zimamoto na fire ila nafasi karibu zote ni za kada ya constable !! Jamani kwani hakuna wenye degree wanaopenda kuwa constable was polisi , fire , magereza au uhamiaji ?? Msitenge wenye degree miaka inazidi kwenda wanazeeka na kupoteza sifa za kuajiriw kwenye sekta za ulinzi na usalama ukizingatia ni miaka mingi ajira hazijatoka. Kuna vijana wapo JKT ni mwaka wa 4 sasa wanajitolea.vijana hao wameingia jkt na elimu za shahada waende wapi??
NAPENDA NCHI YANGU , NAWAPENDA VIONGOZI WANGU ,,, MUNGU AWABARIKI NA KUENDELEZA VEMA TAIFA
LETU
wenye elimu ya vyuo vikuu.Kinachouma na kuumiza ni pale hizi ajira za wizara ya mambo ya ndani(polisi,magereza ,uhamiaji na zimamoto) kuwabagua vijana wenye elimu za shahada.Vijana wadogo wenye elimu za kidato cha NNE wanaajiriwa wenye shahada wanaachwa hii inapelekea vijana wenye shahada kudhalaurika kupelekea kushuka thamani ya elimu hapa tanzania.
Naiomba wizara ya mambo ya ndani na serikali ya Tanzania iwaajiri hata hawa graduates kwani wapo tayari hata kulipwa mishahara ya constable/private. Kwani kuna nini mukiwaajiri na kuwaacha wawe na vyeo vya chini kabisa( constable)
Maana Leo 21/09/2021 nimeona mh waziri akishukuru kwa kupewa nafasi za magereza , uhamiaji , zimamoto na fire ila nafasi karibu zote ni za kada ya constable !! Jamani kwani hakuna wenye degree wanaopenda kuwa constable was polisi , fire , magereza au uhamiaji ?? Msitenge wenye degree miaka inazidi kwenda wanazeeka na kupoteza sifa za kuajiriw kwenye sekta za ulinzi na usalama ukizingatia ni miaka mingi ajira hazijatoka. Kuna vijana wapo JKT ni mwaka wa 4 sasa wanajitolea.vijana hao wameingia jkt na elimu za shahada waende wapi??
NAPENDA NCHI YANGU , NAWAPENDA VIONGOZI WANGU ,,, MUNGU AWABARIKI NA KUENDELEZA VEMA TAIFA
LETU