Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwasababu tuliichagua CCM, kwasababu hatukutaka ukweli mchungu bali uongo mtamuDuh haya sasa majanga yaani sijui kwanini tumefika hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu tuliichagua CCM, kwasababu hatukutaka ukweli mchungu bali uongo mtamuDuh haya sasa majanga yaani sijui kwanini tumefika hapa.
Kwasababu tuliichagua CCM, kwasababu hatukutaka ukweli mchungu bali uongo mtamu
Fid Q usuper staà mzigo wa mibaa
Kiwanda kitajengwa na aliyetoa ahadi acheni ukilazaViwandaaaa! Hakuna kwenda nje ya nchi, bakini humu humu tujenge kiwanda walau cha kwanza
Mbele kwa mbelee.......wachaa waisome no eeeeee....Ccm ni ile ile... Ni ile ile[emoji443] [emoji341] [emoji450]wameipenda wenyewe [emoji341] [emoji448] [emoji344] [emoji449] [emoji445] [emoji445] [emoji444] wacha waisome nambaaa[emoji382] [emoji445] [emoji450] [emoji449] [emoji448] [emoji449] [emoji352] [emoji382] [emoji344] [emoji353]
Ccm mbele kwa mbelee[emoji448] [emoji450] [emoji341] [emoji341] [emoji445]
Kijana mmoja aliwahi niuliza atii tz passport zinapatikana kwa ulahisi, yaani iliniuma sana ,inawezekana wengi wa wageni wanaishi ulaya wakiwa na passport za tz..Kuna uzi uliletwa humu JF siku kadhaa zilizopita ukieleza kuwa Idara ya Uhamiaji imesimamisha utoaji wa hati ya kusafiria(Passport) kwa sababu ya upungufu/ukosefu wa karatasi za kuandalia passport hiyo.Hii ilikuwa hata ukituma maombi kwenye ofisi za mikoa kuja makao makuu,majibu ilikuwa kwa sasa zoezi la kutoa "passport" limesimamishwa mpaka hapo Idara itakapopata karatasi za kuandalia passport hizo.
Hata wale "vishoka" wenye kujua mbinu za kupenyeza mpaka kitengo cha kuandalia passport Makao Makuu ya Uhamiaji Kurasini wanasema hata kwa dau lolote kwa sasa passport ni ngumu kupatikana.Wenye njia za mkato waliokuwa na uwezo wa kupenyeza "rupia" ili kufanyiwa msaada wa haraka nao wamegonga mwamba kuwa hata kwa "hela ya kiwi" kwa sasa passport ni ngumu sbb "zoezi la utengenezwaji" limesamamishwa kwa sbb ya uhaba wa "malighafi" za kutengenezea.
Tetesi za ndani ya Idara hiyo zinasema ni agizo toka "juu" kuwa zoezi hilo limatakiwa kusimama kwa muda,kwani ktk mikono ya watu wengi kwa sasa,kuna hati za kusafiria kwa watu ambao sio raia halali wa Tz na wamepata hati hizo katika mazingira ya rushwa na tatanishi.Hivyo zoezi la kutoa hati hizo limesitishwa kwa muda ili kutengeneza utaratibu mpya wa kupatikana kwa hati hizo kwa wale waombaji wa mara ya kwanza na wale wanaotaka kuhuhisha.
Maana kwa kipindi kirefu ilikuwa inawezekana kupata hati ya kusafiria ndani ya siku tano ili hali kiuhalisia zoezi huchukua wiki mbili hadi mwezi ili wenye mamlaka kujiridhisha uhalali wa muombaji.Ngawila ilikuwa ni moja ya kigezo cha kupata hati ya kusafiria ya Tz na wala si uraia wa mtu.
Tutege sikio na kusubiri juu ya "Tetesi" hizi.Muhimu ni "JF be the first to know"View attachment 399192
Mkuu jibu liko wazi sana, tunaogopa tu kulitaja tusije tukaonekana wachochezi.Duh haya sasa majanga yaani sijui kwanini tumefika hapa.
JK aliwezaje kuendesha hii nchi, me naomba huyu mzee aitwe atoe ushauri kwa hii serikali na atupe best practices ya jinsi alivyoweza ku'manage yote haya.
JK hakutumia muujiza wowote, tatizo la huyu ana kisasi na wananchi wake haya ndio matokeo yake.JK aliwezaje kuendesha hii nchi, me naomba huyu mzee aitwe atoe ushauri kwa hii serikali na atupe best practices ya jinsi alivyoweza ku'manage yote haya.