Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndiyo maana ninarudia kusema kuwa matunda ya serikali ya AWAMU YA TANO tutaanza kuyaona baada ya miaka kati ya 2 mpaka 3 hivi. Sasa hivi ni kusafisha UUZO tu na hii itachukua mda mwingi. hongera Mhs Rais kwa kuanza vizuri. ninaomba wananchi waelezwe kuwa matunda yatakuja baada ya mda kwa sababu sasa hivi ni kusafisha SITE.Duh haya sasa majanga yaani sijui kwanini tumefika hapa.
ushamba na usukuma tu!Huenda kuna jambo wameliona kuwa na dosari na sasa wanalishughulikia, tujipe muda naamini wanafanya kwa nia njema yenye maslahi kwa watanzania
Nchi inakosa karatasi za kutengenezea passport?
Umeona best,hii nchi majanga kwa kweliTatizo la watu wakishakula ugali wa bure ikul na familia zao ziko well off on taxpayers hawajali watanzania wenzao. Shibe mbaya sana.
Paspoti ni haki ya kila MTANZANIA kupata bila bughudha.
Mkuu hii nchi haijawahi kuishiwa dawa za chanjo ya watoto zaidi ya kipindi hiki! wanafunzi field wa vyuo vikuu wanalia njaa tu wamepewa pesa nusu, nusu haijulikani itakuja lini? si cha walimu wala madaktari waliokwisha ajiriwa tangu bwana huyu aingie madarakani! yaani nchi imerudi nyuma mnoSiyo pass port tu hata Salary slip hazitoki sasa hivi, sijui hii serikali inatupeleka wapi? Toka mwezi June, mapaka leo hii Tunaambiwa Wizara ya Fedha imekosa Materials kuprint. So bad.
ushamba na usukuma tu!
Kwa hali hii[emoji115] TCRA watamalizia watu jela!ushamba na usukuma tu!
Kwhaiooowote tubakii dar hakuna safarii
Umenena....Lkn Bernard si jamaa yako yule?au mnamkana na mwenzio yule mpare wa HQ kisa kimenuka?Mpwa hakuna safari mpaka wajulikane wale wote walioidhinisha matoleo ya passport baada ya issue ya Benard kujulikana.
Pia kuna uzi niliweka humu wa kuishauri idara kuhusu fomu za maombi hasa ya visa kwamba inabidi ziboreshwe kidogo maana zipo kienyeji mno. Na pia fomu za maombi ya passport nazo zinaangaliwa upya.
Hivyo kuna tetesi pia kwamba fomu za maombi zitakuwa na maswali ya ziada.
Nafikiri waziri amechukua wazo la busara kabisa, maana ukikutana na baadhi ya watu wameshika passport halafu lugha ya Kiswahili inakuwa shida, basi hiyo ni dalili za kuharibika system ya utoaji passport.
Umenena....Lkn Bernard si jamaa yako yule?au mnamkana na mwenzio yule mpare wa HQ kisa kimenuka?