Wizara ya Mambo ya Nje inakwenda kuvurundwa kama Wizara ya Nishati

Wizara ya Mambo ya Nje inakwenda kuvurundwa kama Wizara ya Nishati

Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Acheni unafiki. January ana ubright gani? Mtu aliyeiba mtihani ni dhahiri hana uwezo wa akili wa kujitosheleza.
 
Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Hamna lolote
 
Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari.

Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.

Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake huko Mambo ya Nje, mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.

Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.
Tulishasema hapa na tunaendelea kusema January Makamba ni kilaza na sifuri kabisa hawezi kuongoza wizara yoyote kwa ufanisi, Nawashauri CCM Acheni kuweka vilaza na wapumbavu kwenye position kisa tu mtu anavaa shati la CCM Hata kama ni mpumbavu na hana Akili.
 
Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari.

Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.

Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake , mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.

Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.
Acha kupotosha...kuliundwa kamati ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara hiyo kabla hata ya uteuzi wa Makamba...anachokwenda kufanyia kazi Mhe. Rais ni Mapendekezo ya Kamati hiyo.
 
Mbona watu mna wivu usio na ticha? Kabla yake ni nani alikuepo na akafanya nini? Haya kashatolewa nishati, je mmepata umeme? Tuepuke personality unapokua na matatizo yako usihamishie chuki zako kwa mtu. Serikali ni mifumo na si mtu mmoja. Sina interest na huyu mtu ila nimekua nikiona mara nyingi watu wakimshambulia yeye kama yeye. Kwani huyu kijana ana nguvu gani za kuyumbisha serikali? Basi kama serikali hii inaweza kuyumbishwa na mtu kuna mahali kuna tatizo kubwa na halimuhusu yeye kabisa.
Basi tutakubaliana na wewe kimoja kunatatizo mahali
 
Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Ameshindwa nishati huko ndio hatafanya kitu kabisa.

Huyo jamaa ni failure. Ni wale nchi kama china inawachinja mchana kweupe jua limewaka.
 
Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari.

Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.

Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake , mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.

Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.
Yule jamaa ni failure wa karne.

Hua ana mbwembwe balaa na kujifanya smart sana ila sasa matokeo sifuri.

Nishati amekaa pale 2 years ameshindwa kuacha legacy yoyote. Two good fucken years bila hata megawati 1 ya solar, maji, gesi ama hata kinyesi ama biogas😂.

Kila siku mlimani city na media za kutosha lakini umeme hakuna.

Sasa kaemda wizara ya nje huko ndio ataharibu sio muda mrefu.
 
Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Usmart wake aliwahi kuuonyesha kwenye nini ?
 
Acha kupotosha...kuliundwa kamati ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara hiyo kabla hata ya uteuzi wa Makamba...anachokwenda kufanyia kazi Mhe. Rais ni Mapendekezo ya Kamati hiyo.
Eti kamati, pathetic
 
Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari.

Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.

Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake , mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.

Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.
Hiki ndicho watanzania tunakiweza. Majungu na fitina za kipumbavu.

Tuliweza kuelewa kwamba Makamba alizidiwa na wizara ya nishati, haupo uwezekano hii wizara ya mambo ya nje ikamshinda.

Hao wanaodhani wanaweza kuongoza ni watupu tu wanadhani kelele zao za JF ndio uwezo halisi wa kuongoza.
 
Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Hakuna u bright wowote ule angekuwa bright tusingelikuwa tunalia na umeme hadi leo…alianzisha tatizo la umeme na kakimbia ana kwenda kuanzisha tatizo lingine!

Hivi kwanini January awezi kufika sehemu akafanya kazi na wenzie alio wakuta na wakarekebisha na mambo yakaenda? Kwanini kila anapokwenda anataka kupavuruga na kufukuzisha watu kazi? Hii ni laana inayo muandama kila anapokwenda?

Kwanini yeye si tatizo bali anao wakuta ndiyo kila wakati liwe tatizo?
Kwanini huwa ana beba majina ya watu kila anapokwenda?
 
Hakuna u bright wowote ule angekuwa bright tusingelikuwa tunalia na umeme hadi leo…alianzisha tatizo la umeme na kakimbia ana kwenda kuanzisha tatizo lingine!

Hivi kwanini January awezi kufika sehemu akafanya kazi na wenzie alio wakuta na wakarekebisha na mambo yakaenda? Kwanini kila anapokwenda anataka kupavuruga na kufukuzisha watu kazi? Hii ni laana inayo muandama kila anapokwenda?

Kwanini yeye si tatizo bali anao wakuta ndiyo kila wakati liwe tatizo?
Kwanini huwa ana beba majina ya watu kila anapokwenda?
Afaddhalli sana umebaini tatizo na kasoro za huyu bwana japo kwa kiasi fulani,
nami nakiri kwamba hata wewe ni smart na hodari unafatilia mambo na watu na kupima kwa umakini mkubwa jinsi wanavyoshirikiana na wengine kusongesha mambo, na hiyo ni kazi mzuri sana unafanya, nakuunga mkono.

Naendelea kusisitiza huyu kijana ni bright na smart sana kwenye kuplan, kuorganize, kutekeleza, kuevaluate na kuanalyze mambo,

Shida yake kubwa, ukiachana na hizo ulizobainisha wewe ni Overconfidence kupindukia, speed na kasi ya kuona results haraka iwezekanavyo, kitu ambacho wasaidizi wake wanashindwa kwenda nae kutokana na either mazoea ya kazi au kutokumuelewa nakadhalika nakadhalika, nakadhalika.

Hata hivyo,madhaifu hayo yanarekebishika na ndio maana nina matumaini kwamba pale mambo ya nje kutatokea ufanisi wa viwango vya juu sana chini yake,

Let's wait and see....
 
Back
Top Bottom