Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi. Atakuja kuwa rais na sisi huku JF tutaendelea kuzeeka na majungu yetu.Exams theft
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi. Atakuja kuwa rais na sisi huku JF tutaendelea kuzeeka na majungu yetu.Exams theft
Sasa bwana the tallest, akili yangu kisoda namna gani?! Kwani sijui, sielewi au simjui huyo mlengwa hapo?! Wewe unanijua mimi vizuri mpaka unazungumza maneno ya namna hiyo dhidi yangu?!Akili yako kisoda, hivi madhira aliyoyafanya Nishati unataka pia yatokee mambo ya nje kisha Biteko awe anakwenda kusahihisha?
Kwamba huamini kabisa Mtu mmoja anaweza kuyumbisha serikali?Mbona watu mna wivu usio na ticha? Kabla yake ni nani alikuepo na akafanya nini? Haya kashatolewa nishati, je mmepata umeme? Tuepuke personality unapokua na matatizo yako usihamishie chuki zako kwa mtu. Serikali ni mifumo na si mtu mmoja. Sina interest na huyu mtu ila nimekua nikiona mara nyingi watu wakimshambulia yeye kama yeye. Kwani huyu kijana ana nguvu gani za kuyumbisha serikali? Basi kama serikali hii inaweza kuyumbishwa na mtu kuna mahali kuna tatizo kubwa na halimuhusu yeye kabisa.
Utajua hujui huyo ana nuksi mbaya sana,angalia alivyoharibu Nishati hasa umemeKwahiyo anaenda kuvuruga nini, kwenye nyanja ipi, au anaenda kuvuruga uhusiano na nchi zipi?
Yaani nyinyi walugaluga mnalopoka tu, halafu unaishi kata ya itungule, na wizara ya mambo ya nje, wapi na wapi?
Ficha upumbavu wakoSasa bwana the tallest, akili yangu kisoda namna gani?! Kwani sijui, sielewi au simjui huyo mlengwa hapo?! Wewe unanijua mimi vizuri mpaka unazungumza maneno ya namna hiyo dhidi yangu?!
Nilichokisema ni kweli au si kweli?! Avuruge, asivuruge ataendelea kuwepo na anaweza kufika mbali zaidi na mtabaki mkilalama tu bila msaada wowote [emoji3][emoji1474]
Tutakuona wewe usiye MPUMBAVU unaishia wapi 😀😀😀👍🏾Ficha upumbavu wako
Hata kutia fora kwa wizi ni utendaji vilevile!Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
umejibu vema sana .Hata kutia fora kwa wizi ni utendaji vilevile!
. Sindano za Tanesco bado zinaumaMambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
zinawachoma wengine zinawauma wengineMwacheni kipara apumzike
. Sindano za Tanesco bado zinauma
Hujitambui hata kidogoMbona watu mna wivu usio na ticha? Kabla yake ni nani alikuepo na akafanya nini? Haya kashatolewa nishati, je mmepata umeme? Tuepuke personality unapokua na matatizo yako usihamishie chuki zako kwa mtu. Serikali ni mifumo na si mtu mmoja. Sina interest na huyu mtu ila nimekua nikiona mara nyingi watu wakimshambulia yeye kama yeye. Kwani huyu kijana ana nguvu gani za kuyumbisha serikali? Basi kama serikali hii inaweza kuyumbishwa na mtu kuna mahali kuna tatizo kubwa na halimuhusu yeye kabisa.
Punguani wahed.Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Una shida kubwa sana upstair, unapata wapi uthubutu wa kuandika upumbavu kama huu.Afaddhalli sana umebaini tatizo na kasoro za huyu bwana japo kwa kiasi fulani,
nami nakiri kwamba hata wewe ni smart na hodari unafatilia mambo na watu na kupima kwa umakini mkubwa jinsi wanavyoshirikiana na wengine kusongesha mambo, na hiyo ni kazi mzuri sana unafanya, nakuunga mkono.
Naendelea kusisitiza huyu kijana ni bright na smart sana kwenye kuplan, kuorganize, kutekeleza, kuevaluate na kuanalyze mambo,
Shida yake kubwa, ukiachana na hizo ulizobainisha wewe ni Overconfidence kupindukia, speed na kasi ya kuona results haraka iwezekanavyo, kitu ambacho wasaidizi wake wanashindwa kwenda nae kutokana na either mazoea ya kazi au kutokumuelewa nakadhalika nakadhalika, nakadhalika.
Hata hivyo,madhaifu hayo yanarekebishika na ndio maana nina matumaini kwamba pale mambo ya nje kutatokea ufanisi wa viwango vya juu sana chini yake,
Let's wait and see....
sawa mwerevuUna shida kubwa sana upstair, unapata wapi uthubutu wa kuandika upumbavu kama huu.
Matumbaku mabaya sana,hudhuru afyaFebruary ni mwanasiasa mwenye uwezo mkubwa ambaye anafaa hata kuwa rais wa nchi hii na wizara hii anaenda kufanya mambo makubwa. Kwenye wizara ya nishati alishindwa na alifanya madudu, Kama sio visasi ndani ya ccm kalemani angerudishwa amalizie kazi aliyoianza
Taka takaMambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Na ilikuwaje Magu akamtema wizara ya Muungano na Mazingira? Usilalamike sana Ndugu hakuna mwenye wivu na mtu, watu wanajaribu kutoa madukuduku yao kutokana utendaji mbovu wa huyo unayemuita kijana.Mbona watu mna wivu usio na ticha? Kabla yake ni nani alikuepo na akafanya nini? Haya kashatolewa nishati, je mmepata umeme? Tuepuke personality unapokua na matatizo yako usihamishie chuki zako kwa mtu. Serikali ni mifumo na si mtu mmoja. Sina interest na huyu mtu ila nimekua nikiona mara nyingi watu wakimshambulia yeye kama yeye. Kwani huyu kijana ana nguvu gani za kuyumbisha serikali? Basi kama serikali hii inaweza kuyumbishwa na mtu kuna mahali kuna tatizo kubwa na halimuhusu yeye kabisa.
Nyie chawa wa huyu jamaa,hivi nchi hii imekosa watu smart hadi umtambulishe huyu aliyeua Tanesco na wizara ya nishati?Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
wewe ni smart ungefaa ila tatizo sio bright.....Nyie chawa wa huyu jamaa,hivi nchi hii imekosa watu smart hadi umtambulishe huyu aliyeua Tanesco na wizara ya nishati?