Wizara ya Mambo ya Nje inakwenda kuvurundwa kama Wizara ya Nishati

Wizara ya Mambo ya Nje inakwenda kuvurundwa kama Wizara ya Nishati

Akili yako kisoda, hivi madhira aliyoyafanya Nishati unataka pia yatokee mambo ya nje kisha Biteko awe anakwenda kusahihisha?
Sasa bwana the tallest, akili yangu kisoda namna gani?! Kwani sijui, sielewi au simjui huyo mlengwa hapo?! Wewe unanijua mimi vizuri mpaka unazungumza maneno ya namna hiyo dhidi yangu?!

Nilichokisema ni kweli au si kweli?! Avuruge, asivuruge ataendelea kuwepo na anaweza kufika mbali zaidi na mtabaki mkilalama tu bila msaada wowote 😀👍🏾
 
Mbona watu mna wivu usio na ticha? Kabla yake ni nani alikuepo na akafanya nini? Haya kashatolewa nishati, je mmepata umeme? Tuepuke personality unapokua na matatizo yako usihamishie chuki zako kwa mtu. Serikali ni mifumo na si mtu mmoja. Sina interest na huyu mtu ila nimekua nikiona mara nyingi watu wakimshambulia yeye kama yeye. Kwani huyu kijana ana nguvu gani za kuyumbisha serikali? Basi kama serikali hii inaweza kuyumbishwa na mtu kuna mahali kuna tatizo kubwa na halimuhusu yeye kabisa.
Kwamba huamini kabisa Mtu mmoja anaweza kuyumbisha serikali?
Katafakari upya.
 
Kwahiyo anaenda kuvuruga nini, kwenye nyanja ipi, au anaenda kuvuruga uhusiano na nchi zipi?
Yaani nyinyi walugaluga mnalopoka tu, halafu unaishi kata ya itungule, na wizara ya mambo ya nje, wapi na wapi?
Utajua hujui huyo ana nuksi mbaya sana,angalia alivyoharibu Nishati hasa umeme
 
Sasa bwana the tallest, akili yangu kisoda namna gani?! Kwani sijui, sielewi au simjui huyo mlengwa hapo?! Wewe unanijua mimi vizuri mpaka unazungumza maneno ya namna hiyo dhidi yangu?!

Nilichokisema ni kweli au si kweli?! Avuruge, asivuruge ataendelea kuwepo na anaweza kufika mbali zaidi na mtabaki mkilalama tu bila msaada wowote [emoji3][emoji1474]
Ficha upumbavu wako
 
February ni mwanasiasa mwenye uwezo mkubwa ambaye anafaa hata kuwa rais wa nchi hii na wizara hii anaenda kufanya mambo makubwa. Kwenye wizara ya nishati alishindwa na alifanya madudu, Kama sio visasi ndani ya ccm kalemani angerudishwa amalizie kazi aliyoianza
 
Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Hata kutia fora kwa wizi ni utendaji vilevile!
 
Mwacheni kipara apumzike
Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
. Sindano za Tanesco bado zinauma
 
Mbona watu mna wivu usio na ticha? Kabla yake ni nani alikuepo na akafanya nini? Haya kashatolewa nishati, je mmepata umeme? Tuepuke personality unapokua na matatizo yako usihamishie chuki zako kwa mtu. Serikali ni mifumo na si mtu mmoja. Sina interest na huyu mtu ila nimekua nikiona mara nyingi watu wakimshambulia yeye kama yeye. Kwani huyu kijana ana nguvu gani za kuyumbisha serikali? Basi kama serikali hii inaweza kuyumbishwa na mtu kuna mahali kuna tatizo kubwa na halimuhusu yeye kabisa.
Hujitambui hata kidogo
 
Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Punguani wahed.
 
Afaddhalli sana umebaini tatizo na kasoro za huyu bwana japo kwa kiasi fulani,
nami nakiri kwamba hata wewe ni smart na hodari unafatilia mambo na watu na kupima kwa umakini mkubwa jinsi wanavyoshirikiana na wengine kusongesha mambo, na hiyo ni kazi mzuri sana unafanya, nakuunga mkono.

Naendelea kusisitiza huyu kijana ni bright na smart sana kwenye kuplan, kuorganize, kutekeleza, kuevaluate na kuanalyze mambo,

Shida yake kubwa, ukiachana na hizo ulizobainisha wewe ni Overconfidence kupindukia, speed na kasi ya kuona results haraka iwezekanavyo, kitu ambacho wasaidizi wake wanashindwa kwenda nae kutokana na either mazoea ya kazi au kutokumuelewa nakadhalika nakadhalika, nakadhalika.

Hata hivyo,madhaifu hayo yanarekebishika na ndio maana nina matumaini kwamba pale mambo ya nje kutatokea ufanisi wa viwango vya juu sana chini yake,

Let's wait and see....
Una shida kubwa sana upstair, unapata wapi uthubutu wa kuandika upumbavu kama huu.
 
February ni mwanasiasa mwenye uwezo mkubwa ambaye anafaa hata kuwa rais wa nchi hii na wizara hii anaenda kufanya mambo makubwa. Kwenye wizara ya nishati alishindwa na alifanya madudu, Kama sio visasi ndani ya ccm kalemani angerudishwa amalizie kazi aliyoianza
Matumbaku mabaya sana,hudhuru afya
 
Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Taka taka
 
Mbona watu mna wivu usio na ticha? Kabla yake ni nani alikuepo na akafanya nini? Haya kashatolewa nishati, je mmepata umeme? Tuepuke personality unapokua na matatizo yako usihamishie chuki zako kwa mtu. Serikali ni mifumo na si mtu mmoja. Sina interest na huyu mtu ila nimekua nikiona mara nyingi watu wakimshambulia yeye kama yeye. Kwani huyu kijana ana nguvu gani za kuyumbisha serikali? Basi kama serikali hii inaweza kuyumbishwa na mtu kuna mahali kuna tatizo kubwa na halimuhusu yeye kabisa.
Na ilikuwaje Magu akamtema wizara ya Muungano na Mazingira? Usilalamike sana Ndugu hakuna mwenye wivu na mtu, watu wanajaribu kutoa madukuduku yao kutokana utendaji mbovu wa huyo unayemuita kijana.
 
Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.

Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.

Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.

wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Nyie chawa wa huyu jamaa,hivi nchi hii imekosa watu smart hadi umtambulishe huyu aliyeua Tanesco na wizara ya nishati?
 
Back
Top Bottom