Acheni unafiki. January ana ubright gani? Mtu aliyeiba mtihani ni dhahiri hana uwezo wa akili wa kujitosheleza.Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Wameshaichungulia kesho yake ni tamu, wanataka wamuharibie mapema 😄Duh mbona kila February akienda mnamuandama...
Ova
Hamna loloteMambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Mwizi hawezi kuwa na kesho tamu nimekaa pale utanipa mrejeshoWameshaichungulia kesho yake ni tamu, wanataka wamuharibie mapema 😄
Tulishasema hapa na tunaendelea kusema January Makamba ni kilaza na sifuri kabisa hawezi kuongoza wizara yoyote kwa ufanisi, Nawashauri CCM Acheni kuweka vilaza na wapumbavu kwenye position kisa tu mtu anavaa shati la CCM Hata kama ni mpumbavu na hana Akili.Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari.
Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.
Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake huko Mambo ya Nje, mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.
Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.
Wezi wangapi wanadunda Bongo mpaka leo hii ingawaje wameshastaafu nyadhifa mbalimbali walizokuwemo?!Mwizi hawezi kuwa na kesho tamu nimekaa pale utanipa mrejesho
Akili yako kisoda, hivi madhira aliyoyafanya Nishati unataka pia yatokee mambo ya nje kisha Biteko awe anakwenda kusahihisha?Wameshaichungulia kesho yake ni tamu, wanataka wamuharibie mapema [emoji1]
Exams theftHuyo kipara ana taaluma gani?
Acha kupotosha...kuliundwa kamati ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara hiyo kabla hata ya uteuzi wa Makamba...anachokwenda kufanyia kazi Mhe. Rais ni Mapendekezo ya Kamati hiyo.Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari.
Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.
Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake , mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.
Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.
Basi tutakubaliana na wewe kimoja kunatatizo mahaliMbona watu mna wivu usio na ticha? Kabla yake ni nani alikuepo na akafanya nini? Haya kashatolewa nishati, je mmepata umeme? Tuepuke personality unapokua na matatizo yako usihamishie chuki zako kwa mtu. Serikali ni mifumo na si mtu mmoja. Sina interest na huyu mtu ila nimekua nikiona mara nyingi watu wakimshambulia yeye kama yeye. Kwani huyu kijana ana nguvu gani za kuyumbisha serikali? Basi kama serikali hii inaweza kuyumbishwa na mtu kuna mahali kuna tatizo kubwa na halimuhusu yeye kabisa.
Ameshindwa nishati huko ndio hatafanya kitu kabisa.Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Yule jamaa ni failure wa karne.Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari.
Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.
Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake , mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.
Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.
Usmart wake aliwahi kuuonyesha kwenye nini ?Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Mchangiaji anakubali jamaa ana madhaifu kibao halafu anategemea kuna muujiza atafanya foreign affairsUsmart wake aliwahi kuuonyesha kwenye nini ?
Eti kamati, patheticAcha kupotosha...kuliundwa kamati ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara hiyo kabla hata ya uteuzi wa Makamba...anachokwenda kufanyia kazi Mhe. Rais ni Mapendekezo ya Kamati hiyo.
kwenye kuhakikisha kikwete anashinda uchaguzi kwa kishindo kwa vipindi viwili mfululizo, bila tashwishwi yeyote kutoka Upinzani.Usmart wake aliwahi kuuonyesha kwenye nini ?
Hiki ndicho watanzania tunakiweza. Majungu na fitina za kipumbavu.Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari.
Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi kung'oka.
Zengwe limehamishiwa Wizara ya Mambo Nje kwa sasa, anakwenda kupanga safu ya jamaa zake , mlioko huko Wizarani , kama kuna uwezekano wa kufix mapema, msilembe.
Bila Katiba Mpya nchi hii itaongozwa na waliotakiwa kuongozwa.
Hakuna u bright wowote ule angekuwa bright tusingelikuwa tunalia na umeme hadi leo…alianzisha tatizo la umeme na kakimbia ana kwenda kuanzisha tatizo lingine!Mambo ya nje anakwenda kutoboa vizuri sana.
Kijana yuko bright sana halafu smart sana kwenye masuala hasa yanayoendana na taaluma yake kwa kiasi fulani.
Kwenye wizara hii anakwenda kurekebisha na kufuta madhaifu yake yote yaliyonekana alipokua kwenye wizara nyingine huko nyuma.
wizara hii inakwenda kutia fora this time katika utendaji...
Afaddhalli sana umebaini tatizo na kasoro za huyu bwana japo kwa kiasi fulani,Hakuna u bright wowote ule angekuwa bright tusingelikuwa tunalia na umeme hadi leo…alianzisha tatizo la umeme na kakimbia ana kwenda kuanzisha tatizo lingine!
Hivi kwanini January awezi kufika sehemu akafanya kazi na wenzie alio wakuta na wakarekebisha na mambo yakaenda? Kwanini kila anapokwenda anataka kupavuruga na kufukuzisha watu kazi? Hii ni laana inayo muandama kila anapokwenda?
Kwanini yeye si tatizo bali anao wakuta ndiyo kila wakati liwe tatizo?
Kwanini huwa ana beba majina ya watu kila anapokwenda?