BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema katika mwaka wa Fedha 2023/24, Serikali ilisaini Mikataba na Hati za Makubaliano 78 baina ya Tanzania na nchi 23
Nchi hizo ni Algeria, Indonesia, Falme za Kiarabu, Zambia, India, Noway, Urusi, Uganda, Cuba, Hungary, Malawi, Korea ya Kusini, Italia, Saudi Arabia, Japan, Angola, Rwanda, Marekani, Romania, Uturuki, Ivory Coast, Ethiopia na Ufaransa
Aidha, Wizara inaendelea kukamilisha ujenzi wa mfumo maalum wa Kielektroniki kwaajili ya upatikanaji wa haraka wa taarifa za utekelezaji wa Mikataba inayosainiwa na kuepusha Migogoro inayoweza kujitokeza.
Nchi hizo ni Algeria, Indonesia, Falme za Kiarabu, Zambia, India, Noway, Urusi, Uganda, Cuba, Hungary, Malawi, Korea ya Kusini, Italia, Saudi Arabia, Japan, Angola, Rwanda, Marekani, Romania, Uturuki, Ivory Coast, Ethiopia na Ufaransa
Aidha, Wizara inaendelea kukamilisha ujenzi wa mfumo maalum wa Kielektroniki kwaajili ya upatikanaji wa haraka wa taarifa za utekelezaji wa Mikataba inayosainiwa na kuepusha Migogoro inayoweza kujitokeza.