Wizara ya michezo yavifungia Viwanja vya Uhuru na Mkapa

Sasa Jwaneng' tunakuja kuwapigia wapi??
 
Bi mkubwa atabatilisha hili agizo baada ya kuombwa na viongozi wa simba & Yanga!

wanachama na mashabiki tutatengeneza mabango makubwa ya kumsifu bi mkubwa, tutachanga na pesa milioni kadhaa za kuchukulia fomu hapo 2025!

sema bi mdashi anapenda sana umaarufu
 
zanzibar waanzishe timu zao kwanza nawashangaa viongozi wa simba na yanga wanavyojihangaisha na mapinduzi cup
 
Hatuna utamaduni wa kujali wateja. Wanaringa kwa sababu wanajua timu hazina pa kwenda. Viwanja vya umma nchi nzima vimehodhiwa na CCM halafu wanachukua makato makubwa wanashindwa kuvitunza na kuviendeleza hadi vinakuwa kwenye hali mbaya kiasi hiki. Pesa ya umma inatumika kurekebisha viwanja binafsi.
 
Oktoba 24 mbona mbali sana, asee! Hapa kuna namna si bure
 
Huu ufafanuzi umekaaje? Ni kwa mechi za ligi tu au hadi za Kimataifa? Manake huo wa Mkapa kwa ligi za ndani uliishafungiwa. Kama ni ndani na Kimataifa waende Rwanda ili Serikali ione wivu.
 
Kwa vigezo vya CAF hapa Tanzania ni Lupaso na Chamazi pekee, sasa tukachezee Rwanda mbwa hawa liwashuke
 
Upumbavu wa Hali ya juu, Wanajua wazi kuwa Simba na Yanga hawana viwanja na hao hao serikali ndiyo wanufaika kwanini waendeele kufanya upuuzi huu?

Ukarabati muhimu ila uzingatie maslahi mapama ya vilabu.

Simba na Yanga wajitafakari ni kheri kuwa na viwanja vyao vya kubeba hata mashabiki 25k vinatosha kwa ligi na dharula kama hizi.

Serikali waangalie pia mstakabari wa hivi vilabu.
 
Huu ufafanuzi umekaaje? Ni kwa mechi za ligi tu au hadi za Kimataifa? Manake huo wa Mkapa kwa ligi za ndani uliishafungiwa. Kama ni ndani na Kimataifa waende Rwanda ili Serikali ione wivu.

Kwa vigezo vya CAF hapa Tanzania ni Uhuru pekee, sasa tukachezee Rwanda mbwa hawa liwashuke
Naunga mkono hoja, twenzetu Rwanda ila tujiandae kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…