Wizara ya Nishati kuajiri vijana 139 kusimamia miradi ya Umeme vijijini

Wizara ya Nishati kuajiri vijana 139 kusimamia miradi ya Umeme vijijini

Waziri wa Nishati, Januari Makamba ametangaza kuajiri vijana 139 watakaosambazwa katika Halmashauri zote nchini ili wawe waratibu wa Miradi ya REA katika maeneo yao.

Makamba amesema hayo Julai 13, 2022 akizingumza Bariadi Simiyu

“Vijana hawa 139 kazi yao ni kufuatilia miradi imefikia hatua gani, mfano kama vifaa vya umeme vimefika katika maeneo yao, kama nguzo zimechimbiwa mashimo, kama zimesimamishwa na kama nyaya zimevutwa, vijana hawa watakuwa pia kiungo cha mawasiliano kati ya Wizara, Tanesco, viongozi wa Serikali na kisiasa pamoja na wadau wengine wanaohusika na miradi hii” amesema Makamba

Source: Instagram ya Wizara ya Nishati Tanzania
Msambaa aliyetaga Galanos na Forest hill ana strategies za Kishamba sana
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba ametangaza kuajiri vijana 139 watakaosambazwa katika Halmashauri zote nchini ili wawe waratibu wa Miradi ya REA katika maeneo yao.

Makamba amesema hayo Julai 13, 2022 akizingumza Bariadi Simiyu

“Vijana hawa 139 kazi yao ni kufuatilia miradi imefikia hatua gani, mfano kama vifaa vya umeme vimefika katika maeneo yao, kama nguzo zimechimbiwa mashimo, kama zimesimamishwa na kama nyaya zimevutwa, vijana hawa watakuwa pia kiungo cha mawasiliano kati ya Wizara, Tanesco, viongozi wa Serikali na kisiasa pamoja na wadau wengine wanaohusika na miradi hii” amesema Makamba

Source: Instagram ya Wizara ya Nishati Tanzania
Safi a different way to do things. Moving away from a traditional way of thinking.
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba ametangaza kuajiri vijana 139 watakaosambazwa katika Halmashauri zote nchini ili wawe waratibu wa Miradi ya REA katika maeneo yao.

Makamba amesema hayo Julai 13, 2022 akizingumza Bariadi Simiyu

“Vijana hawa 139 kazi yao ni kufuatilia miradi imefikia hatua gani, mfano kama vifaa vya umeme vimefika katika maeneo yao, kama nguzo zimechimbiwa mashimo, kama zimesimamishwa na kama nyaya zimevutwa, vijana hawa watakuwa pia kiungo cha mawasiliano kati ya Wizara, Tanesco, viongozi wa Serikali na kisiasa pamoja na wadau wengine wanaohusika na miradi hii” amesema Makamba

Source: Instagram ya Wizara ya Nishati Tanzania
Anaajiri yeye kama yeye au Serikali kupitia Tanesco ndio wanaajiri?

Pili kwani kabla ya hapo utaratibu ulikuaje? Maana pesa kubwa isije kutumia kwenye kazi za administration badala ya kusambaza umeme na ku stabilise grid..Afafanue .
 
Anaajiri yeye kama yeye au Serikali kupitia Tanesco ndio wanaajiri?

Pili kwani kabla ya hapo utaratibu ulikuaje? Maana pesa kubwa isije kutumia kwenye kazi za administration badala ya kusambaza umeme na ku stabilise grid..Afafanue .
Kama taarifa imetolewa na wizara basi Ina makosa. Makamba haajiri, Bali serikali ndio inaajiri.
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba ametangaza kuajiri vijana 139 watakaosambazwa katika Halmashauri zote nchini ili wawe waratibu wa Miradi ya REA katika maeneo yao.

Makamba amesema hayo Julai 13, 2022 akizingumza Bariadi Simiyu

“Vijana hawa 139 kazi yao ni kufuatilia miradi imefikia hatua gani, mfano kama vifaa vya umeme vimefika katika maeneo yao, kama nguzo zimechimbiwa mashimo, kama zimesimamishwa na kama nyaya zimevutwa, vijana hawa watakuwa pia kiungo cha mawasiliano kati ya Wizara, Tanesco, viongozi wa Serikali na kisiasa pamoja na wadau wengine wanaohusika na miradi hii” amesema Makamba

Chanzo: Instagram ya Wizara ya Nishati Tanzania
Duuh! Hapo una meneja wa tanesco wilayani, mikoani n.k. meneja anasimamia miradi hiyo huku akiwa na vijana walioajiriwa lkn cha kushangaza wanaajiri wa kufuatilia mashimo, nguzo, vifaa n.k 😁😁😁 HUKU NI KUMAANISHA UONGO UMEJAA na hata wakidanganya na ikabainika bado hawawajibishwi ili kulikomesha hilo. Unaajiri mlinzi ila bado unamuwekea wa kumchunga kama hasinzii kazini.
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba ametangaza kuajiri vijana 139 watakaosambazwa katika Halmashauri zote nchini ili wawe waratibu wa Miradi ya REA katika maeneo yao.

Makamba amesema hayo Julai 13, 2022 akizingumza Bariadi Simiyu

“Vijana hawa 139 kazi yao ni kufuatilia miradi imefikia hatua gani, mfano kama vifaa vya umeme vimefika katika maeneo yao, kama nguzo zimechimbiwa mashimo, kama zimesimamishwa na kama nyaya zimevutwa, vijana hawa watakuwa pia kiungo cha mawasiliano kati ya Wizara, Tanesco, viongozi wa Serikali na kisiasa pamoja na wadau wengine wanaohusika na miradi hii” amesema Makamba

Chanzo: Instagram ya Wizara ya Nishati Tanzania
Siku hizi ajira zinatangazwa na Waziri au Wizara sio tena Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma au mimi sijaelewa ni ajira za vijana wake yeye Makamba au vijana wa Tanzania
 
Back
Top Bottom