Wizara ya Nishati yaomba Bajeti ya Tsh. Trilioni 3 kwa mwaka 2023/24

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Bajeti hiyo imewasilishwa Bungeni na Waziri #JanuariMakamba ikiwa ni makadirio ya matumizi ya mwaka 2023/24 ambapo kuna ongezeko la Tsh. Bilioni 142.65 kutoka Tsh. Trilioni 2.91 zilizoombwa mwaka 2022/23.

Kuhusu hali ya Umeme Nchini, amesema hadi kufikia Mei 15, 2023 uzalishaji ni Megawati 1,872.05 na matumizi ni Megawati 1,431.59, sawa na ongezeko la (6.8%) iliyotokana na mahitaji ya Wateja wakubwa vikiwemo Viwanda na Biashara.

Vipi Mdau, una maoni gani kuhusu Upatikanaji wa Umeme mtaani kwako?

 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…