Wizara ya Nishati yaomba Bajeti ya Tsh. Trilioni 3 kwa mwaka 2023/24

Wizara ya Nishati yaomba Bajeti ya Tsh. Trilioni 3 kwa mwaka 2023/24

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Bajeti hiyo imewasilishwa Bungeni na Waziri #JanuariMakamba ikiwa ni makadirio ya matumizi ya mwaka 2023/24 ambapo kuna ongezeko la Tsh. Bilioni 142.65 kutoka Tsh. Trilioni 2.91 zilizoombwa mwaka 2022/23.

Kuhusu hali ya Umeme Nchini, amesema hadi kufikia Mei 15, 2023 uzalishaji ni Megawati 1,872.05 na matumizi ni Megawati 1,431.59, sawa na ongezeko la (6.8%) iliyotokana na mahitaji ya Wateja wakubwa vikiwemo Viwanda na Biashara.

Vipi Mdau, una maoni gani kuhusu Upatikanaji wa Umeme mtaani kwako?

1685533097443.png
 

Attachments

Back
Top Bottom