Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Bajeti hiyo imewasilishwa Bungeni na Waziri #JanuariMakamba ikiwa ni makadirio ya matumizi ya mwaka 2023/24 ambapo kuna ongezeko la Tsh. Bilioni 142.65 kutoka Tsh. Trilioni 2.91 zilizoombwa mwaka 2022/23.
Kuhusu hali ya Umeme Nchini, amesema hadi kufikia Mei 15, 2023 uzalishaji ni Megawati 1,872.05 na matumizi ni Megawati 1,431.59, sawa na ongezeko la (6.8%) iliyotokana na mahitaji ya Wateja wakubwa vikiwemo Viwanda na Biashara.
Vipi Mdau, una maoni gani kuhusu Upatikanaji wa Umeme mtaani kwako?
Kuhusu hali ya Umeme Nchini, amesema hadi kufikia Mei 15, 2023 uzalishaji ni Megawati 1,872.05 na matumizi ni Megawati 1,431.59, sawa na ongezeko la (6.8%) iliyotokana na mahitaji ya Wateja wakubwa vikiwemo Viwanda na Biashara.
Vipi Mdau, una maoni gani kuhusu Upatikanaji wa Umeme mtaani kwako?