Wizara ya TAMISEMI bado inamuhitaji Suleiman Jafo

Wizara ya TAMISEMI bado inamuhitaji Suleiman Jafo

Deleted01

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2018
Posts
2,800
Reaction score
6,927
Salaam Aleikum,

Kiukweli Tamisemi siku hizi haina utendaji kazi mzuri kama enzi za Dada Ummy na Kipindi cha Jaffo. Yaani huyu waziri wa sasa ndo alitakiwa aende mazingira alafu Jaffo aje Tamisemi. Kuna namna hii support na uvumilivu anaopewa huyu wa sasa na matokeo ya ufanyaji kazi wake hayana alignment nzuri. Anatumia nguvu nyingi kwenye petty issues na bado faults zinakuwepo. Mama kama anasoma humu, atusaidie Jaffo arudi pale Tamisemi.
 
Ungesema wapi anapofeli ili tulinganishe. Mimi binafsi naona hakuna jipya tamisemi ni ile ile hakuna kilichoongezeka
 
Mwambieni alipe watu fidia ya ardhi kwa watu wenye hati pale jangwani wale wananchi ni masikini wasidhulumike wapate haki yao
 
Huwa naona isiwepo tu kila wizara ibebe jukumu lake maana tamisemi ni combination ya wizara nyingi sana hao ma dc,das,ded,ras na reo wakishirikiana na watumishi wa umma watumike huko serikali za mitaa kama wawakilishi wa wizara mbalimbali.
TAMISEMI ngumu sana
 
Salaam Aleikum,

Kiukweli Tamisemi siku hizi haina utendaji kazi mzuri kama enzi za Dada Ummy na Kipindi cha Jaffo. Yaani huyu waziri wa sasa ndo alitakiwa aende mazingira alafu Jaffo aje Tamisemi. Kuna namna hii support na uvumilivu anaopewa huyu wa sasa na matokeo ya ufanyaji kazi wake hayana alignment nzuri. Anatumia nguvu nyingi kwenye petty issues na bado faults zinakuwepo. Mama kama anasoma humu, atusaidie Jaffo arudi pale Tamisemi.
kwahiyo bro unaona mkwe wa Rais hafai? we jamaa mambo ya kifamilia achana nayo kabisaaaaaa, kimsingi hakuna waziri wa hangaya anayefaa hata mmoja .
 
Huwa naona isiwepo tu kila wizara ibebe jukumu lake maana tamisemi ni combination ya wizara nyingi sana hao ma dc,das,ded,ras na reo wakishirikiana na watumishi wa umma watumike huko serikali za mitaa kama wawakilishi wa wizara mbalimbali.
Bora iwe hivyo hili dude ni kubwa sana.
 
Ungesema wapi anapofeli ili tulinganishe. Mimi binafsi naona hakuna jipya tamisemi ni ile ile hakuna kilichoongezeka
Nitajie mambo matano ambayo mpaka sasa anaweza kusimama akatuambia ameyafanya pale tamisemi, Obviously hakuna. Kajikuta kwenye petty petty issues ambazo napo hapati matokeo.
 
Hata Ummy mlisema hafai. Mchengerwa yupo vizuri
Mnavyojiitaga chawa kisa mnapewa hela za vocha hadi akili zinawapotea kichwani, bora uwe chawa wangu naweza kukupa ardhi mbweni, ukijua kwanini ummy alitoka tamisemi hautakaa kuniuliza tena kwamba mlisema hafai, senge nini.
 
Salaam Aleikum,

Kiukweli Tamisemi siku hizi haina utendaji kazi mzuri kama enzi za Dada Ummy na Kipindi cha Jaffo. Yaani huyu waziri wa sasa ndo alitakiwa aende mazingira alafu Jaffo aje Tamisemi. Kuna namna hii support na uvumilivu anaopewa huyu wa sasa na matokeo ya ufanyaji kazi wake hayana alignment nzuri. Anatumia nguvu nyingi kwenye petty issues na bado faults zinakuwepo. Mama kama anasoma humu, atusaidie Jaffo arudi pale Tamisemi.
Tunahitaji mifumo bora ambayo sio mtu ndio ataleta ufanisi katika sehemu husika bali mifumo ndio umlazimishe mtu kuwa mfanisi.
 
Nitajie mambo matano ambayo mpaka sasa anaweza kusimama akatuambia ameyafanya pale tamisemi, Obviously hakuna. Kajikuta kwenye petty petty issues ambazo napo hapati matokeo.
Waliopita walifanya mambo gani tuanze hapo kwanza ndo maana nikasema utaje mambo yaliofanya na waliopita
 
Tunahitaji mifumo bora ambayo sio mtu ndio ataleta ufanisi katika sehemu husika bali mifumo ndio umlazimishe mtu kuwa mfanisi.
Kwa sababu mifumo hakuna, tunataka mtu sasa. Nyie wa mifumo anzisheni uzi wenu.
 
Back
Top Bottom