Wizara ya TAMISEMI na Wizara ya Elimu nendeni Ifakara mkajionee madudu

Wizara ya TAMISEMI na Wizara ya Elimu nendeni Ifakara mkajionee madudu

Mingendeu

Senior Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
115
Reaction score
237
Kuna walimu wakuu shule za msingi takribani 19 wameenguliwa nafasi zao bila Sababu za msingi.

Jambo la ajabu ni kwamba:-
1. Walimu hao 19 wamepokea barua za onyo mwezi January Mwaka huu. Barua za onyo zinaonekana zimeandikwa na kusainiwa na mkurugenzi tangu mwezi December mwaka jana.

2. Barua za kushushwa cheo nazo wamepokea mwezi huu, lakini barua hizo zinaonekana ziliandikwa na kusainiwa tangu mwez September 2024.

Kwahiyo, kwa kuziangalia tarehe za barua, utaona mwalimu ameshushwa cheo halafu akiwa sio mwalimu mkuu ndio amepokea barua ya onyo.

Boma la ifakara linalalamikiwa sana kwa ukabila (uzawa) inashusha sana morale ya walimu ambao wanasifa mbalimbali lakini sio wazawa wa bonde la Kilombero.

Nyinyi mnauwezo wa kufatilia jambo hili kiundani na kulitafutia ufumbuzi. Mnavyombo vingi vinavyoweza kusaidia upatikanaji wa taarifa kwa kina.
 
Kuna walimu wakuu shule za msingi takribani 19 wameenguliwa nafasi zao bila Sababu za msingi.

Jambo la ajabu ni kwamba:-
1. Walimu hao 19 wamepokea barua za onyo mwezi January Mwaka huu. Barua za onyo zinaonekana zimeandikwa na kusainiwa na mkurugenzi tangu mwezi December mwaka jana.

2. Barua za kushushwa cheo nazo wamepokea mwezi huu, lakini barua hizo zinaonekana ziliandikwa na kusainiwa tangu mwez September 2024.

Kwahiyo, kwa kuziangalia tarehe za barua, utaona mwalimu ameshushwa cheo halafu akiwa sio mwalimu mkuu ndio amepokea barua ya onyo.

Boma la ifakara linalalamikiwa sana kwa ukabila (uzawa) inashusha sana morale ya walimu ambao wanasifa mbalimbali lakini sio wazawa wa bonde la Kilombero.

Nyinyi mnauwezo wa kufatilia jambo hili kiundani na kulitafutia ufumbuzi. Mnavyombo vingi vinavyoweza kusaidia upatikanaji wa taarifa kwa kina.
Mkuu mjinga sana wewe. Cheo ni dhamana
 
Kada ya ualimu mnalia kila siku na hakuna wa kusikia kilio chenu.

Anyway,Kikubwa matokeo mzee
 
Boma la ifakara linalalamikiwa sana kwa ukabila (uzawa) inashusha sana morale ya walimu ambao wanasifa mbalimbali lakini sio wazawa wa bonde la Kilombero.
Ni nani aliyeturudisha nyuma kifikra kiasi hicho cha kufikiria mambo ya uzawa miaka hii?
 
Aiseee walimu 19 ni wengi sana itakuwa kwenye shule zoote hizi. Jongo, Ifakara, Mapinduzi, Muhola,Madukani, Mbasa, Maendeleo, Lumemo,
 
Aiseee walimu 19 ni wengi sana itakuwa kwenye shule zoote hizi. Jongo, Ifakara, Mapinduzi, Muhola,Madukani, Mbasa, Maendeleo, Lumemo,
Kuna muda huwa hawaonewi. Kuna shule moja mkuu wa shule kajitungia sheria inayokinzana na Sera ya elimu iliyotolewa na serikali. Siku skijichanganya kwa mtu anaejua taratibu na mtoto wake akawa muhanga lazima ataisoma namba.
 
Kuna muda huwa hawaonewi. Kuna shule moja mkuu wa shule kajitungia sheria inayokinzana na Sera ya elimu iliyotolewa na serikali. Siku skijichanganya kwa mtu anaejua taratibu na mtoto wake akawa muhanga lazima ataisoma namba.
Ni kweli kiongozi. Ila kwa walimu 19 sio jambo la kawaida. Ukizingatia idara ya elimu inawaratibu hadi kwenye kata. Imawezekanaje walimu wa kata nzima wakawa tatizo then mratibu akabaki salama??
 
Lazima wakuu wao wamekubali au????

Na sasa waende kufanyaje tena?
 
Kuna walimu wakuu shule za msingi takribani 19 wameenguliwa nafasi zao bila Sababu za msingi.

Jambo la ajabu ni kwamba:-
1. Walimu hao 19 wamepokea barua za onyo mwezi January Mwaka huu. Barua za onyo zinaonekana zimeandikwa na kusainiwa na mkurugenzi tangu mwezi December mwaka jana.

2. Barua za kushushwa cheo nazo wamepokea mwezi huu, lakini barua hizo zinaonekana ziliandikwa na kusainiwa tangu mwez September 2024.

Kwahiyo, kwa kuziangalia tarehe za barua, utaona mwalimu ameshushwa cheo halafu akiwa sio mwalimu mkuu ndio amepokea barua ya onyo.

Boma la ifakara linalalamikiwa sana kwa ukabila (uzawa) inashusha sana morale ya walimu ambao wanasifa mbalimbali lakini sio wazawa wa bonde la Kilombero.

Nyinyi mnauwezo wa kufatilia jambo hili kiundani na kulitafutia ufumbuzi. Mnavyombo vingi vinavyoweza kusaidia upatikanaji wa taarifa kwa kina.
Inawezekana habari hii siyo ya kweli
 
Back
Top Bottom