Wizara ya TAMISEMI na Wizara ya Elimu nendeni Ifakara mkajionee madudu

Wizara ya TAMISEMI na Wizara ya Elimu nendeni Ifakara mkajionee madudu

Nyie si ndio CCM B!! Hii barua peleka Lumumba sw. Itafanyiwa KAZI mapema MNO!!
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Narudia tena, UKIONA KAZI YOYOTE AMBAYO HAIJALI SENIORITY HIYO KAZI NI YA KIJINGA. KWENYE UALIMU UTAONA MWALIMU MWENYE CHEO KIKUBWA ANONGOZWA NA MWALIMU MWENYE CHEO KIDOGO. Lima tumbuku kama mimi mkuu.
 
Kuna walimu wakuu shule za msingi takribani 19 wameenguliwa nafasi zao bila Sababu za msingi.

Jambo la ajabu ni kwamba:-
1. Walimu hao 19 wamepokea barua za onyo mwezi January Mwaka huu. Barua za onyo zinaonekana zimeandikwa na kusainiwa na mkurugenzi tangu mwezi December mwaka jana.

2. Barua za kushushwa cheo nazo wamepokea mwezi huu, lakini barua hizo zinaonekana ziliandikwa na kusainiwa tangu mwez September 2024.

Kwahiyo, kwa kuziangalia tarehe za barua, utaona mwalimu ameshushwa cheo halafu akiwa sio mwalimu mkuu ndio amepokea barua ya onyo.

Boma la ifakara linalalamikiwa sana kwa ukabila (uzawa) inashusha sana morale ya walimu ambao wanasifa mbalimbali lakini sio wazawa wa bonde la Kilombero.

Nyinyi mnauwezo wa kufatilia jambo hili kiundani na kulitafutia ufumbuzi. Mnavyombo vingi vinavyoweza kusaidia upatikanaji wa taarifa kwa kina.
Sasa ww kushushwa vyeo kama mmefanya vitu vya ovyo msishushwe.. ungetoa na sababu mliyopewa ya kushushwa vyeo ndio tungepima ni halali au sio.
 
Sasa ww kushushwa vyeo kama mmefanya vitu vya ovyo msishushwe.. ungetoa na sababu mliyopewa ya kushushwa vyeo ndio tungepima ni halali au sio.
Unaandika Kama mganga. Kama kibaooo
Sasa ww kushushwa vyeo kama mmefanya vitu vya ovyo msishushwe.. ungetoa na sababu mliyopewa ya kushushwa vyeo ndio tungepima ni halali au sio.
Wewe mganga nini?? Kama kibaoooo (acha ramli) hiyo stori nimeisogeza jamvini hainihusu.
 
Unaandika Kama mganga. Kama kibaooo

Wewe mganga nini?? Kama kibaoooo (acha ramli) hiyo stori nimeisogeza jamvini hainihusu.
Kwaiyo ulivo mjinga na wewe umeisogeza jamvini na haijatimia...Wewe huna akili ujue hii stori haija balance ww unapost tu.
 
Narudia tena, UKIONA KAZI YOYOTE AMBAYO HAIJALI SENIORITY HIYO KAZI NI YA KIJINGA. KWENYE UALIMU UTAONA MWALIMU MWENYE CHEO KIKUBWA ANONGOZWA NA MWALIMU MWENYE CHEO KIDOGO. Lima tumbuku kama mimi mkuu.
Katika uhalisia wa kazi ni kuwa "cheo ni majukumu ya kiofisi", siyo ngazi ya mshahara, elimu na mafunzo.
 
Katika uhalisia wa kazi ni kuwa "cheo ni majukumu ya kiofisi", siyo ngazi ya mshahara, elimu na mafunzo.
Huu utaratibu unaosema unatumika kwa walimu tu, ndio maana nakwambia ni kazi ya kindwanzi. Jeshini ni lazima upandishwe cheo ndio upewe "ukuu". Unawezaje kuwaongoza watu waliokuzidi cheo? Ndio maana kazi hiyo imekuwa haina heshima.
 
Huu utaratibu unaosema unatumika kwa walimu tu, ndio maana nakwambia ni kazi ya kindwanzi. Jeshini ni lazima upandishwe cheo ndio upewe "ukuu". Unawezaje kuwaongoza watu waliokuzidi cheo? Ndio maana kazi hiyo imekuwa haina heshima.
Duu! Hatari.
 
Cheo
Kuna walimu wakuu shule za msingi takribani 19 wameenguliwa nafasi zao bila Sababu za msingi.

Jambo la ajabu ni kwamba:-
1. Walimu hao 19 wamepokea barua za onyo mwezi January Mwaka huu. Barua za onyo zinaonekana zimeandikwa na kusainiwa na mkurugenzi tangu mwezi December mwaka jana.

2. Barua za kushushwa cheo nazo wamepokea mwezi huu, lakini barua hizo zinaonekana ziliandikwa na kusainiwa tangu mwez September 2024.

Kwahiyo, kwa kuziangalia tarehe za barua, utaona mwalimu ameshushwa cheo halafu akiwa sio mwalimu mkuu ndio amepokea barua ya onyo.

Boma la ifakara linalalamikiwa sana kwa ukabila (uzawa) inashusha sana morale ya walimu ambao wanasifa mbalimbali lakini sio wazawa wa bonde la Kilombero.

Nyinyi mnauwezo wa kufatilia jambo hili kiundani na kulitafutia ufumbuzi. Mnavyombo vingi vinavyoweza kusaidia upatikanaji wa taarifa kwa kina.
Cheo haukuzaliwa nacho,kikubwa chapa kazi
 
Back
Top Bottom