Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Nakubaliana na hili maana hata mbunge wao siyo kabila lao.Inawezekana habari hii siyo ya kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na hili maana hata mbunge wao siyo kabila lao.Inawezekana habari hii siyo ya kweli
Hii sio sawa kabisaMkuu mjinga sana wewe. Cheo ni dhamana
Sasa ww kushushwa vyeo kama mmefanya vitu vya ovyo msishushwe.. ungetoa na sababu mliyopewa ya kushushwa vyeo ndio tungepima ni halali au sio.Kuna walimu wakuu shule za msingi takribani 19 wameenguliwa nafasi zao bila Sababu za msingi.
Jambo la ajabu ni kwamba:-
1. Walimu hao 19 wamepokea barua za onyo mwezi January Mwaka huu. Barua za onyo zinaonekana zimeandikwa na kusainiwa na mkurugenzi tangu mwezi December mwaka jana.
2. Barua za kushushwa cheo nazo wamepokea mwezi huu, lakini barua hizo zinaonekana ziliandikwa na kusainiwa tangu mwez September 2024.
Kwahiyo, kwa kuziangalia tarehe za barua, utaona mwalimu ameshushwa cheo halafu akiwa sio mwalimu mkuu ndio amepokea barua ya onyo.
Boma la ifakara linalalamikiwa sana kwa ukabila (uzawa) inashusha sana morale ya walimu ambao wanasifa mbalimbali lakini sio wazawa wa bonde la Kilombero.
Nyinyi mnauwezo wa kufatilia jambo hili kiundani na kulitafutia ufumbuzi. Mnavyombo vingi vinavyoweza kusaidia upatikanaji wa taarifa kwa kina.
Hahahaa ni shidaIkifika muda wa kusimamia uchaguzi wanasahau yote haya
Unaandika Kama mganga. Kama kibaoooSasa ww kushushwa vyeo kama mmefanya vitu vya ovyo msishushwe.. ungetoa na sababu mliyopewa ya kushushwa vyeo ndio tungepima ni halali au sio.
Wewe mganga nini?? Kama kibaoooo (acha ramli) hiyo stori nimeisogeza jamvini hainihusu.Sasa ww kushushwa vyeo kama mmefanya vitu vya ovyo msishushwe.. ungetoa na sababu mliyopewa ya kushushwa vyeo ndio tungepima ni halali au sio.
Kwaiyo ulivo mjinga na wewe umeisogeza jamvini na haijatimia...Wewe huna akili ujue hii stori haija balance ww unapost tu.Unaandika Kama mganga. Kama kibaooo
Wewe mganga nini?? Kama kibaoooo (acha ramli) hiyo stori nimeisogeza jamvini hainihusu.
🤣😂🤣😂😂😂Ikifika muda wa kusimamia uchaguzi wanasahau yote haya
Katika uhalisia wa kazi ni kuwa "cheo ni majukumu ya kiofisi", siyo ngazi ya mshahara, elimu na mafunzo.Narudia tena, UKIONA KAZI YOYOTE AMBAYO HAIJALI SENIORITY HIYO KAZI NI YA KIJINGA. KWENYE UALIMU UTAONA MWALIMU MWENYE CHEO KIKUBWA ANONGOZWA NA MWALIMU MWENYE CHEO KIDOGO. Lima tumbuku kama mimi mkuu.
Huu utaratibu unaosema unatumika kwa walimu tu, ndio maana nakwambia ni kazi ya kindwanzi. Jeshini ni lazima upandishwe cheo ndio upewe "ukuu". Unawezaje kuwaongoza watu waliokuzidi cheo? Ndio maana kazi hiyo imekuwa haina heshima.Katika uhalisia wa kazi ni kuwa "cheo ni majukumu ya kiofisi", siyo ngazi ya mshahara, elimu na mafunzo.
Duu! Hatari.Huu utaratibu unaosema unatumika kwa walimu tu, ndio maana nakwambia ni kazi ya kindwanzi. Jeshini ni lazima upandishwe cheo ndio upewe "ukuu". Unawezaje kuwaongoza watu waliokuzidi cheo? Ndio maana kazi hiyo imekuwa haina heshima.
Cheo haukuzaliwa nacho,kikubwa chapa kaziKuna walimu wakuu shule za msingi takribani 19 wameenguliwa nafasi zao bila Sababu za msingi.
Jambo la ajabu ni kwamba:-
1. Walimu hao 19 wamepokea barua za onyo mwezi January Mwaka huu. Barua za onyo zinaonekana zimeandikwa na kusainiwa na mkurugenzi tangu mwezi December mwaka jana.
2. Barua za kushushwa cheo nazo wamepokea mwezi huu, lakini barua hizo zinaonekana ziliandikwa na kusainiwa tangu mwez September 2024.
Kwahiyo, kwa kuziangalia tarehe za barua, utaona mwalimu ameshushwa cheo halafu akiwa sio mwalimu mkuu ndio amepokea barua ya onyo.
Boma la ifakara linalalamikiwa sana kwa ukabila (uzawa) inashusha sana morale ya walimu ambao wanasifa mbalimbali lakini sio wazawa wa bonde la Kilombero.
Nyinyi mnauwezo wa kufatilia jambo hili kiundani na kulitafutia ufumbuzi. Mnavyombo vingi vinavyoweza kusaidia upatikanaji wa taarifa kwa kina.