DOKEZO Wizara ya TAMISEMI ni “Empire" ya vigogo. Mfumo wa kujuana umeota mizizi

DOKEZO Wizara ya TAMISEMI ni “Empire" ya vigogo. Mfumo wa kujuana umeota mizizi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Unashangaa mwalimu wa Voda fasta amekuwa Afisa Elimu. Haya ni maajabu na uabunuasi.

Unamuacha mwalimu mwenye sifa zake za muda mrefu unamchukua Voda fasta?

Mwl amewekwa kama daraja bovu wakubwa wapite na watu(ndg) zao hii sio sawa. Ukifuatilia utagundua maafisa Elimu na vitengo vyao hawana "A" wala "B".

Utakuta mtu hata kutuma email kwenye kishkwambi ulichompa hawezi. Elimu yetu inauwawa na waliopewa dhamana.
 
Unashangaa mwalimu wa Voda fasta amekuwa afisa Elimu...
Kwa kweli yatakuwa ni maajabu makubwa hasa kwa kuwa hawa walimu wa voda fasta waliondolewa wote makazini mwaka 2018-2019 hivi;

Wakati wanaajiriwa sharti ilikuwa ni kujiendeleza ndani ya miaka 5 kwa kusoma diploma au shahada ya ualimu. Wale ambao hawakusoma hivyo na wakasoma vitu vingine waliondolewa baada ya wale wa vyeti feki, sasa nashangaa kujua kama bado wapo walimu wa voda fasta.

Au ni wale waliojiendeleza kitaaluma ila wanaitwa vodafasta kwa kuwa tu walipata ajira kwa voda fasta? Kama ni hao basi wanastahili tu kupata huo uafisa elimu, ualimu mkuu, uratibu nk
 
Aisee na hizi PhD na MA za kupeana ndiyo imetoka ivyo. Wasio na connection ndiyo basi tena
 
Aisee na hizi PhD na MA za kupeana ndiyo imetoka ivyo. Wasio na connection ndiyo basi tena
Huku elimu hizo PhD wala MA haziangaliwi.

Huku ni file namna unaweza kupenya tu.

Sasa tafuta mpenyo unaweza kuwa hata Afisa Elimu yoyote bila kupitia cheo chochote.

Tafuta Mpenyo tu utanishukuru
 
Huku elimu hizo PhD wala MA haziangaliwi.

Huku ni file namna unaweza kupenya tu.

Sasa tafuta mpenyo unaweza kuwa hata Afisa Elimu yoyote bila kupitia cheo chochote.

Tafuta Mpenyo tu utanishukuru
Dah nielekeze vuzuri chief
 
Back
Top Bottom