DOKEZO Wizara ya TAMISEMI ni “Empire" ya vigogo. Mfumo wa kujuana umeota mizizi

DOKEZO Wizara ya TAMISEMI ni “Empire" ya vigogo. Mfumo wa kujuana umeota mizizi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimehama mie Niko uhasibu. Hahesabu Hela zenu. Ualimu ni kazi niliyoipenda kutoka moyoni. Lakini najutia umasikini huu.
Nyie ndo mnaibia walimu hapo Meru sio? Vodafasta hapo nani? Huyo Vicent au?
 
Unashangaa mwalimu wa Voda fasta amekuwa Afisa Elimu. Haya ni maajabu na uabunuasi.

Unamuacha mwalimu mwenye sifa zake za muda mrefu unamchukua Voda fasta?

Mwl amewekwa kama daraja bovu wakubwa wapite na watu(ndg) zao hii sio sawa. Ukifuatilia utagundua maafisa Elimu na vitengo vyao hawana "A" wala "B".

Utakuta mtu hata kutuma email kwenye kishkwambi ulichompa hawezi. Elimu yetu inauwawa na waliopewa dhamana.
Nepotism sio depotism mkuu.

Nakumbuka Kuna walimu walikuwa vizuri Sana, walikuwa wanafanya kazi kwenye halmashauri, eti Kwa misingizio Cha ipungufu wa Walimu wakawarudisha mashuleni wakafundishe. Ilikuwa aibu, unyanyasaji, uonevu,udhalilishaji Kwa kuwa wali act kama viongozi kuwarejesha mashuleni bila kosa kitaalam ilikuwa ni udhalilishaji, those teachers walikuwa hardworking na Cha kishangaza walikuwa wakihudumu humohumo kwenye Elimu Cha ajabu kilikuwa kipi kuwakanyaga na kuwatimba. Maskini walirejea na wanaendelea na kazi ya kufundisha. Binafsi nilisononeshwa mno na ule unyanyasaji uliofanyalwa na vionywa Elimu nchini. Na najua Mh Rais Mama Saia hajui. Lakini hivi?? Hata wasaidiz wake hawajui??

Fuatilia hii utaiona cha ajabu Hilo gape la uhaba wa Walimu Kiko pale pale na Kwa nini wasione kwanza kuzingatia mahitaji Kwa Masomo? Kama Masomo ya a walimu wengi Ile workforce kwanini waiondoe ... walimu wanakanyagana wenyewe Kwa wenyewe.


Mhe Rais kama unaona hii fanya uone uwasaidie wale walimu waliodhalilishwa eti kurudishwa shule. Haikuwa haki kabisa kuwa demote. Kumdhudha cheo Hana kosa how??
 
Unashangaa mwalimu wa Voda fasta amekuwa Afisa Elimu. Haya ni maajabu na uabunuasi.

Unamuacha mwalimu mwenye sifa zake za muda mrefu unamchukua Voda fasta?

Mwl amewekwa kama daraja bovu wakubwa wapite na watu(ndg) zao hii sio sawa. Ukifuatilia utagundua maafisa Elimu na vitengo vyao hawana "A" wala "B".

Utakuta mtu hata kutuma email kwenye kishkwambi ulichompa hawezi. Elimu yetu inauwawa na waliopewa dhamana.
Maisha ni vita Mura,jikombe ukomborewe tata!
 
Back
Top Bottom