Wizara ya ujenzi na uchukuzi, RC Mwanza na mamlaka ya bandari TPA wadai kutiwa mfukoni

Wizara ya ujenzi na uchukuzi, RC Mwanza na mamlaka ya bandari TPA wadai kutiwa mfukoni

otembei

New Member
Joined
Sep 19, 2022
Posts
3
Reaction score
0
Kwa hiki kinachoendelea katika kupisha mradi wa Reli ya kisasa SGR kufika Bandarini ya Mwanza kinasikitisha sana Mmiliki wa Kivuko cha Kamanga Ferry kujinasibu kuwa serikali imewekwa mfukoni mwake na hatapisha mradi bali Mradi wa Reli Umpishe yeye

Swali sisi wananchi tuliondolewa ,Shule ilivunjwa na jengo la TANROADS Liliovunjwa kupisha mradi nani aliyopo nyuma yake.?
IMG_0450.JPG
IMG_0452.JPG
 
Tanzania kuna vituko kil aina!

Ni nani huyo mwamba anayeweza kuiweka serikali nzima ya Samia mfukoni mwake?

Yaweza kuwa kweli ana nguvu hasa, maana hata wewe mwandishi umemuogopa kumtaja jina!
 
Ukifika Kamanga Ferry utaona Sheria za TASAC,TPA zinavyokanywagwa lakini ngoja iseme neno moja likitokea la kutokea hapo kamanga ferry msiseme tuwaombee kazi ya Mungu haina makosa ama shetani kwa maana tatizo linajulikana pia leo sisi tunaotafuta kazi katika ujenzi wa SGR umekwama kipande cha nne cha mjini katika kimekwamisha na kamanga ferry eti reli ipishe kivuko serikali inajibiwa hivyo asalamm
 
Back
Top Bottom