Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
WIZARA YA UTAMADUNI SANAA NA MICHEZO KATIKA KUTENGENEZA DOCUMENTARY YA BI. TITI MOHAMED
Leo nilitembelewa na wataalamu kutoka Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo.
Tuliweka barza tukamzungumza Bi. Titi lakini mimi nilizungumza kwa majonzi nikawaambia mtu aliyekaa kwa muda mrefu na Bi. Titi hadi anafariki ni Leila Sheikh.
Nikawaomba pamoja na mazungumzo yetu haya wafanye hima sana wampate Leila Sheikh wasome historia ya Bi. Titi ambayo yeye kaipokea kutoka kinywa chake mwenyewe kipenzi chetu Bi. Titi Mohamed.
Picha ya nne Bi. Titi akiwa Bukoba kuhamasisha wananchi Kanda ya Ziwa wakatiwa kupigania uhuru wa Tanganyika.
Leo nilitembelewa na wataalamu kutoka Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo.
Tuliweka barza tukamzungumza Bi. Titi lakini mimi nilizungumza kwa majonzi nikawaambia mtu aliyekaa kwa muda mrefu na Bi. Titi hadi anafariki ni Leila Sheikh.
Nikawaomba pamoja na mazungumzo yetu haya wafanye hima sana wampate Leila Sheikh wasome historia ya Bi. Titi ambayo yeye kaipokea kutoka kinywa chake mwenyewe kipenzi chetu Bi. Titi Mohamed.
Picha ya nne Bi. Titi akiwa Bukoba kuhamasisha wananchi Kanda ya Ziwa wakatiwa kupigania uhuru wa Tanganyika.