Wizi huu wa Benki sio mzuri kwa Taifa

Wizi huu wa Benki sio mzuri kwa Taifa

Duh...!
P
BOT ya Tanzania ni tofauti na Bank kuu za kenya Uganda Zambia China na mataifa mengine Duniani, wao wanasumbua watu wenye pesa zao kuna vikwazo usumbufu mwingi haramu wa kishetani kutengeneza mazingira ya Rushwa ndiyo maana Tanzania kuna uhaba wa pesa za kigeni, mataifa jirani hawana shida wala tabu na pesa inayoingia kwao na hawana mda kujua inapotoka wala nini wao wanataka pesa ije kwao wanachokifanya ni kuhakikisha pesa hairudi ilipotoka wala kupelekwa Nchi zingine huhakikisha pesa inatumika Nchini mwao kuleta maendeleo kujenga nyumba kufanya biashara Nchini mwao ndiyo maana wafanyabiashara wakubwa wamehamisha Account zao Tanzania na kupeleka Nchi zingine kusiko na usumbufu wa hovyo kama wa BOT.
 
Kenya Uganda Zambia wamegundua hilo mapema ndiyo maana wanawavutia wafanyabiashara kwenda huko kwao kusiko na ubabaishaji wa kijinga jinga kama wa BOT
Tanzania is a chaotic sea and the few will survive and overcome
 
Huu ni mfano mmoja tu wa wazi ni bank karibu zote kwa ushirikiano na jamaa wa bank kuu. Lakini target zao kubwa ni wahindi na diaspora. Bank zote zina hili tatizo. Nasubiri apate pesa zake kwanza nitasema hii bank nayo lakini ni ma bank yote kuna watu wachafu ndani
Mkuu wacha uongo. Ndio majungu yenyewe hayo. Umeulizwa Bank gani unawewesekaweweseka tu.
 
Tanzania is a chaotic sea and the few will survive and overcome
Pesa inakuja Tanzania itatumika Tanzania italeta mzunguko Tanzania wanufaika ni watanzania cha ajabu Mtanzania ndiyo anaizuia pesa asiyomhusu!
 
Da , Kumbe ndio Mchezo wao? Mwaka 2016 ...Exim Bank Tanzania walinifanyia mchezo huu kwa muda wa miezi 6 ndio wakaiachia fedha yangu ya uwekezaji... wana laana sana na wizi wa namna hii...
 
Unaweza kukuta ni hearsay wala hajui zaidi. Ni story za vijiweni.
Huu ujinga wenu ndiyo umeifanya BOT kutozinduka waache usumbufu wa kupora haki za watu, badala ukemee ujinga wa mabenk unaanza ujinga wako huoni kuwa unamwangusha boss wako magufuli atakunyima uteuzi
 
Hakuna huu ujinga, watu wanafanya baishara kama kawaida et usd 100,000. Nayo hela hiyo.

Naona umeamua kuchangamsha genge.
 
Da , Kumbe ndio Mchezo wao? Mwaka 2016 ...Exim Bank Tanzania walinifanyia mchezo huu kwa muda wa miezi 6 ndio wakaiachia fedha yangu ya uwekezaji... wana laana sana na wizi wa namna hii...
Tanzania kuna usumbufu mkubwa pindi ukitumiwa pesa toka nje ndiyo maana wafanyabiashara wakubwa hutumia KCB kwa kufungua Account kenya na pia kuwa na Account Uganda wakitumiwa pesa zao zinapita kenya na Uganda kusiko na usumbufu kama wa BOT
 
Hivi kwa nini wengi wanajifanya wana pesa nyingi sana humu JF? Wangekuwa na pesa ndefu wasingekuwa wanashinda JF kwa kueneza umbeya. Hebu endeleeni kusafisha vibibi vya kithungu kama BAK.
 
Hakuna huu ujinga, watu wanafanya baishara kama kawaida et usd 100,000. Nayo hela hiyo.

Naona umeamua kuchangamsha genge.
Kwa sasa utawala wako hata dola 20,000 waweza kukumbatia kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi kama magufuli alikuwa hajui nenda kamjulishe kuwa kuna maafisa wanatumia fursa kupiga pesa za watu kwa visingizio vya kishamba haramu vya na kishetani
 
Hivi kwa nini wengi wanajifanya wana pesa nyingi sana humu JF? Wangekuwa na pesa ndefu wasingekuwa wanashinda JF kwa kueneza umbeya. Hebu endeleeni kusafisha vibibi vya kithungu kama BAK.
JF ni jukwaa la kupitishia kero hata wewe kusoma kila kitu ni unakesha humu pia je? Wewe una pesa hapo ulipo? au wewe ndiyo mwizi wa pesa za watu toka nje? Nyinyi wanufaika wa mfumo huu mkivuta Bangi huwa hamjali kero za wengine huwa mnajiandikia chochote ili mradi uonekane umeingia kuchangia mada
 
Mkuu huo hauwezi kuita uporaji, tambua kuna sheria inayosimamia uendeshaji wa maduka hayo. Sasa ikiwa walikiuka lazima wakumbane na adhabu. Mfano tu nikupe, mtaji uliosajili wewe ni dola 300,000 wakaja kukagua na kufanya hesabu za usuluhishi ( accounts reconciliation) ukakutwa una ziada inafikisha mzunguko wako hadi dola 500,000. Moja kwa moja wewe ni mtakatisha fedha haramu ( money launder) na adhabu yake unaijua, hizo pess sio zako zinabebwa zote pamoja na kila kitu kilichokutwa humo.

Sasa hapo mtu asiyejua anaita uporaji wakati ni uhalifu wa kiuchumi umedhibitiwa.
Wengi hupigiwa hesabu kihuni huni kisha kubambikiwa kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi ambayo sasa ni fimbo inayotumika vibaya kuwaonea wengi kienyeji kwa njia haramu za kishetani
 
Kesi za uhujumu uchumi utakatishaji fedha ni fursa kwa wajanja wachache kwani sasa umegeuka kuwa Fimbo ya kuwatishia watu hasa wafanyabiashara ni vyema Rais magufuli ulitizame hilo kwa jicho la tatu
 
Kuna Watu mnakera kweli kweli na ndiyo maana kumbe yanawapateni makubwa unaambiwa uitaje Benki unazunguka tu kama Mwamuzi wa Mpira.
Mkuu bank zote huwa hazina maamuzi ya pesa toka nje zaidi ya BOT ambao huchuja pesa zote kabla ya kuwafikia wahusika wenyewe
 
Back
Top Bottom