Na mpaka leo Gavana wa Benki yupo ofisini na mwisho wa mwezi atalipwa mshahara...Usalama wa Taifa wako kazini...hili nalo litapita libaki kwenye makaratasi..wananchi tutaendelea kuhimizwa tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi...
Kuna mambo ukiwaza unajiongezea presha na vidonda vya tumbo bure tu!
Kila mtu mwenye pumzi ana nafasi ya kuwa mwizi akiamua. Tofauti ni aina, mbinu, kiasi, uwezo, nk.Unasema sababu ujapata nafasi ya kuiba
Ila mkuu, kama kweli wanaiba, je hiyo ni rizki yao kweli?Acha watu wapate rizki au umenyimwa kupanda hiyo boti?
Rizki si wanalipwa mshahara?Acha watu wapate rizki au umenyimwa kupanda hiyo boti?
Wewe ndiye mbea!wamekuibia nini? acha umbea
***** kweli mjini mipangoUrefu wa kambaView attachment 2187290
Hii nchi upigaji kila mahali yani na viongozi hawajaliKukata mzizi wa fitina waweke camera za kutosha kila sehemu.
Chief hangaya kasema wale kwa urefu wa kamba..wewe ni nani kulipinga hilo.Wakuu msije mkasema nina wivu, ila inaniuma kama mTanzania.
Ipo hivi...
Unapo shuka kuelekea kukata ticket kama mwenda kwa miguu, pale unakutana na mtoa huduma akiwa tayari amesha kata tickets nyingi na anachokifanya ni kukupa (abiria ticket) kisha anakupa na chenji yako na unaondoka.
Baada ya hapo, unapoifikia ile sehem ya ku beji ili uingie ndipo picha linapo anzia. Pale kwanza zile sensors hazifanyikazi na badala yake kwa pembeni kuna mtu anaepokea stakabadhi ili aithibitishe na kisha aichane. Lakini badala yake unakuta yule mkaguzi anapokea tickets na wakati huo anajifanya kama yupo busy na simu (ili asiichane) na kusha anazikusanya zile stakabadhi na mwisho anazirudisha kwa yule muuzaji wa tickets pale ambapo abiria huingilia.
Sasa hapa panakua na connection link kati ta muuza tickets na mkagua tickets.
Kazi ya mkaguzi kwenye wizi ule ni kukagua na kujifanya yupo busy na simu yake halafu anazirudisha zile tickets kwa muuzaji, hapo wote wanaangalia timing wakati abiria wanakua hawajapanga foleni wakati huo wakisubiria fery nyingine iwadie.
Hii nchi ni yetu site, kazi iendelee...TUNATAKA watumishi wenye nidhamu ya moyoni na sio nidhamu ya woga!Na mpaka leo Gavana wa Benki yupo ofisini na mwisho wa mwezi atalipwa mshahara...Usalama wa Taifa wako kazini...hili nalo litapita libaki kwenye makaratasi..wananchi tutaendelea kuhimizwa tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi...
Kuna mambo ukiwaza unajiongezea presha na vidonda vya tumbo bure tu!
Enzi za Jiwe upigaji wao ulikuwa ni kujifanya hawana chenji....sasa hivi wameanua kutafuna hadi gogo na shoka!Mda wa kurudisha hasara walizo pata enzi za utawala wa simba Yamaume wa nyikani.
Kila mbuzi anaanza kula kulingana na uzio wake