KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Tulia hivyohivyoNaona aibu mie sijui nikoment nini,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia hivyohivyoNaona aibu mie sijui nikoment nini,
Pumbavu.Acha watu wapate rizki au umenyimwa kupanda hiyo boti?
Wewe ni muongo mkubwa. Mimi natumia kivuko hicho angalau mara sita kwa wiki (kwenda na kurudi) sijawahi ona kitu kama hicho. Labda nikuulize, vile vimlango vinafunguka baada ya mhudumu ku scan barcode za tiketi yako. Na akiishafanya hivyo, tiketi inakuwa haina kazi tena. Sasa wewe ulipitaje?Mkuu, bilashaka wanatekeleza maagizo kwa urefu wa kamba..😂
Maisha magumu sasa wafanyaje ndio rizki yenyewe hiyo maadam hawamwibii mtu wanaiibia serikali . Muhimu aliyetoa hela yake anapata huduma anayoitaka. Hela ya ufisadi tamu we sikia tuu.Ila mkuu, kama kweli wanaiba, je hiyo ni rizki yao kweli?
Mshahara hautoshi.wakubwa wanajilipa mahela mengi plus posho za kumwaga .hao ukifuatilia utaambiwa laki 3 kwa mwezi. Mfumuko wa bei ndio kama unavyoona unadhani wataacha kuiba? Hawapendi lakini life linabana mzee.Rizki si wanalipwa mshahara?
Hatujabariki wizi lakini si vibaya watoto wakipata japo sabuni na mafuta ya kula kidogo .mzee huuoni huu mfumuko wa bei [emoji1787][emoji1787] usisahau mama yupo Washington na atakaa kama wiki 1 hivi.Mkuu, ebu nyoosha maelezo "kwamba meamua kubariki wizi kwenye nchi hii"
Nini wewe .Pumbavu.
Utoto bado unakusumbua kijana, nilicho kiandika nimeshuhudia kwa macho yanguWewe ni muongo mkubwa. Mimi natumia kivuko hicho angalau mara sita kwa wiki (kwenda na kurudi) sijawahi ona kitu kama hicho. Labda nikuulize, vile vimlango vinafunguka baada ya mhudumu ku scan barcode za tiketi yako. Na akiishafanya hivyo, tiketi inakuwa haina kazi tena. Sasa wewe ulipitaje?
Basi sawa mkuu, lakini ndio nishawasagia kunguni hapa...😜Hatujabariki wizi lakini si vibaya watoto wakipata japo sabuni na mafuta ya kula kidogo .mzee huuoni huu mfumuko wa bei [emoji1787][emoji1787] usisahau mama yupo Washington na atakaa kama wiki 1 hivi.
Acha uongo. Hata sasa hivi nipo hapa navuka kuingia jijini Mwanza. Hakuna ujinga huo unaosema.Utoto bado unakusumbua kijana, nilicho kiandika nimeshuhudia kwa macho yangu
Urefu wa kamba