Wizi mpya wa "kuunganishiwa mabando (GBs)" umeibuka!

Wizi mpya wa "kuunganishiwa mabando (GBs)" umeibuka!

Ulimpatia kweli manzi huyo aisee huko alipo anajilaumu mpk kesho [emoji23]
Tatizo wanavamia mji kwa pupa. Bahati mimi nimeishia kumlala tu.
Ipo siku watakutana maharamia waishie kuuliwa kabisa.
 
Kwanini matapeli wa Tanzania wanakuwa kama vile watu wenye elimu duni? Yaani maandishi yao huwa wanaandika hovyo mno. Ni mabingwa wa kuchanganya R na L. Yaani maandishi yao huwa ni ushuzi mtupu. Kimsingi mtu anayepigwa na tapeli wa Tz atakuwa kajitoa kabisa ufahamu kwa kutanguliza tamaa.
 
Back
Top Bottom