Yesss upo sahihi kabisa...Ila wabongo wanazingua sana unakuta gari ikifika TANZANIA tunaanza kuchora vioo,tunapiga libiti kila sehemu hii yote Kwaajili kuzuia wizi Hadi gari inakuwa kama Banda la chipsi kila sehemu imegongewa misumariPiga libiti sijui kama spelling nimepatia ila zinaitwa ivyo. Ile cover ikishakua na shimo la libiti haliuziki.
Hahaha na kweli mkuu maana bila kufanya ivyo kila siku utakua unanunua spare udokozi bongo ni mwingi sana.Yesss upo sahihi kabisa...Ila wabongo wanazingua sana unakuta gari ikifika TANZANIA tunaanza kuchora vioo,tunapiga libiti kila sehemu hii yote Kwaajili kuzuia wizi Hadi gari inakuwa kama Banda la chipsi kila sehemu imegongewa misumari
Rivet inasaidia sana mie wameniibia indicators za kwenye mashavu zile ndogo sababu sikupiga rivet.Piga libiti sijui kama spelling nimepatia ila zinaitwa ivyo. Ile cover ikishakua na shimo la libiti haliuziki.
Mimi uwa sipigi hixo sijui mnahita rivet.Rivet inasaidia sana mie wameniibia indicators za kwenye mashavu zile ndogo sababu sikupiga rivet.