Habari wadau.
Kuna wizi wa ajabu sana kwenye magari.
Wanaiba cover ya nyuma ya side mirror tu sababu ni rahisi kuzichomoa. Hawachukui side mirror nzima. Na wanaiba sababu wanajua mwenye gari lazima ukanunue tena hicho ki cover.
Wezi wanaenda kuwauzia wauza spea hivyo vi cover vya wizi na wauza spea wanatuuzia tena tulioibiwa
Wizi huu umetamalaki sana kwenye gari aina ya IST, PASSO, SUBARU, etc.
Unapopaki gari yako sehemu kuwa makini sana. Maana hivyo vi cover wanavichomoa dakika tu
Kuna wizi wa ajabu sana kwenye magari.
Wanaiba cover ya nyuma ya side mirror tu sababu ni rahisi kuzichomoa. Hawachukui side mirror nzima. Na wanaiba sababu wanajua mwenye gari lazima ukanunue tena hicho ki cover.
Wezi wanaenda kuwauzia wauza spea hivyo vi cover vya wizi na wauza spea wanatuuzia tena tulioibiwa
Wizi huu umetamalaki sana kwenye gari aina ya IST, PASSO, SUBARU, etc.
Unapopaki gari yako sehemu kuwa makini sana. Maana hivyo vi cover wanavichomoa dakika tu