Wizi hua haufanywi na mtu mmoja hua ni mnyororo wa watu, hao unaowaona kwenye camera ni wale manyokaaa wa watekelezaji tu ila pwagu na pwaguzi mchora ramani ni wafanyakazi wa hlo basi na wanajua kila kitu
SawaAcheni mawazo negative sio kila kitu kuwe na mchora ramani.mwizi kama mwizi anajichorea ramani peke ake asa kwenye magari
Yani😃😃😃🤔Tena wanakuwaga watu wazima na heshima zao.
Unamkuta kapigilia kapendeza kumbe jizi au tapeli.
uzembe wa namna mbili kwanza ni wepesi wa kuharibika na pili ni huo wa kuibiwa.Ni kweli ni uzembe mkubwa, kuweka kitu cha thamani namna hiyo.
Ndio maana mwizi akipigwa sina huruma naeHatari kwakweli...wenzao wanahenyeka kutunza vi hela wanunue assets zao wao wanaiba kiulainii.
ngoja yakukute😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yanikute mara ngapi kuna mtu nilimuazima laptop siku naitaka anakuja kuniambia alipata ajali kaibiwa lkn kabla ya kuongea nae nilikua kitaani kwake naambiwa kaiuza na nilipomuambia haya kabadilika kawa mkali. Nimetulia kimyaaa natafakari cha kumfanya.ngoja yakukute[emoji28]
msemee kwa shem apigwe mpaka aongee yote😅Yanikute mara ngapi kuna mtu nilimuazima laptop siku naitaka anakuja kuniambia alipata ajali kaibiwa lkn kabla ya kuongea nae nilikua kitaani kwake naambiwa kaiuza na nilipomuambia haya kabadilika kawa mkali. Nimetulia kimyaaa natafakari cha kumfanya.
[emoji23] huyu naenda nae taratibu akizidi kunivimbia nshajua nimfanyaje na asije kunilaumu.msemee kwa shem apigwe mpaka aongee yote[emoji28]
nahisi si unaona kama huyo yaani kaangalia kabisa halafu akawa kama kapigwa na butwaaaMpaka huwa nawaza hawa watu wana vitu wanakua navyo
Au mtotoNaimagine mke wake anaona hii video inakuwaje😃😃
Ni aibu mkuu😌Au mtoto
Duuuh hatari sanaNilipanda Mbeya City la kutoka Mbeya nikishukua Segera pale aisee hapo Moro wanapochimba dawa niliona watu wapo busy utadhani wapo machimboni nilichofanya nilishuka na begi dogo nikakaa nje kabisa kusubiri kinachofanyika wahuni kama wanne waliingia kwenye bus ila waliona kama watu hawaeleweki wakaamua kushuka ni wiki iliyopita tuu huwa wanakua na mabegi madogo kama wanatafuta seat ili wakate Tiketi nikashangaa sana mbona mbinu zao za kizamani sana na watu wanaohusika na hizo Bus hawajaweka ulinzi wowote zaidi ya kutangaza mzigo ulio ndani ya bus ni dhamana kwa abiria hii sio sawa aisee wahuni wanaiba mizigo kwa kuchukua tuu tena ukiangalia hata hiyo video wanasechi kabisa kabla hawajaiba wanajua mabegi ya Laptop na nguo Vima hao..
du!!!!!Angalia video hii, kama unawatambua toa taarifa upate zawadi yako ya Tsh. laki 5.