chaz beezz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 217
- 865
Zimepita siku mbili sasa sina huduma ya maji, hii ni baada ya kuibiwa mita ya maji na wezi usiku. Walifika wakafungua mita ya maji kisha wakaondoka nayo, tumekuja shituka asubuhi tunakuta maji yanamwagika kwa wingi sana kucheki mita imeng'olewa.
Sijui hizi mita zinapelekwa wapi na istoshe zimesajiliwa kwa majina ya muhusika, ili limekuwa tatizo sana hapa mtaani. Mimi ni kama muhanga wa tano sasa kukumbwa tatizo hili na hasa mita zilizo nje ya uzio wa nyumba zinaibiwa sana.
Nilitoa taarifa kwa mwenyeketi wa mtaa ninapoishi ili niweze pewa barua ya kwenda nayo idara ya maji ili nipewe mita nyingine, kufika idara ya maji wanadai nitoe laki mbili ili kuwekewa mita mpya.
Hii imekaaje wakuu, mbona Kama napigwa? Ndio taratibu zilivyo kweli?
Pia soma: Albert Chalamila: Sijaridhishwa na hiki mlichofanya DAWASA, pia wanaoiba Mita za Maji washughulikiwe
√ - Dar: Emmanuel Kalungwana kortini kwa wizi wa Mita za DAWASA
Sijui hizi mita zinapelekwa wapi na istoshe zimesajiliwa kwa majina ya muhusika, ili limekuwa tatizo sana hapa mtaani. Mimi ni kama muhanga wa tano sasa kukumbwa tatizo hili na hasa mita zilizo nje ya uzio wa nyumba zinaibiwa sana.
Nilitoa taarifa kwa mwenyeketi wa mtaa ninapoishi ili niweze pewa barua ya kwenda nayo idara ya maji ili nipewe mita nyingine, kufika idara ya maji wanadai nitoe laki mbili ili kuwekewa mita mpya.
Hii imekaaje wakuu, mbona Kama napigwa? Ndio taratibu zilivyo kweli?
Pia soma: Albert Chalamila: Sijaridhishwa na hiki mlichofanya DAWASA, pia wanaoiba Mita za Maji washughulikiwe
√ - Dar: Emmanuel Kalungwana kortini kwa wizi wa Mita za DAWASA