Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
FatherOfAllSnipersmkuu ni ishu sirias naomba kibarua
Uwezo wa kukulipa elfu 90 hauko kwenye ratbag yangu
Ila una udhoefu na kazi za ulinzi au umeamua tu kutaka kujaribu kazi hizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FatherOfAllSnipersmkuu ni ishu sirias naomba kibarua
Wanapeleka kwa mwaandika hivyo vibao ili amwandikie mtu mwingine baada ya kumlipa pesa.Wewe unasema mita za maji, vile vibao vyenye namba ya nyumba pia usiku wakipita wanang'oa wanaondoka navyo ukiamka asubuhi hakipo wanapeleka wapi?
Daah sasa sisi inakuaje huku maana nyumba nyingi wamevichomoa na hua wanavibandua usiku wanaondoka navyo ukiamka asubuhi huvikuti,Wanapeleka kwa mwaandika hivyo vibao ili amwandikie mtu mwingine baada ya kumlipa pesa.
Kwa haraka haraka tu huo ni mchezo unaofanywa na hao wafanyakazi wa idara ya maji.Zimepita siku mbili sasa sina huduma ya maji, hii ni baada ya kuibiwa mita ya maji na wezi usiku. Walifika wakafungua mita ya maji kisha wakaondoka nayo...
MmmhMita zimetengenezwa kwa pure copper,ni dili sana kwa chuma cha kavu,umefika muda sasa wa kutengeneza mita za pastiki
Sina uzoefu na kazi za ulinzi mkuu.FatherOfAllSnipers
Uwezo wa kukulipa elfu 90 hauko kwenye ratbag yangu
Ila una udhoefu na kazi za ulinzi au umeamua tu kutaka kujaribu kazi hizi?