hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaa yuko chimbo anafanyia tizi hilo zoeziOntario akiona hii matajiri wote wabongo mmekwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa yuko chimbo anafanyia tizi hilo zoeziOntario akiona hii matajiri wote wabongo mmekwisha
Wanaifilisia IMF yoteLisaa limoja wakulugwa wameiba tani 3 za hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao jamaa ukiwapa siku nzima itakuwaje.
Ni ndani tu ya saa moja lililopita, wadukuzi wamefanikiwa kuingilia faragha za akaunti za Twitter za Bill gates na Elon Musk na kutuma ujumbe ukiwataka watu watume kiasi cha pesa kwa njia ya bitcoin kisha, Watatumiwa mara mbili ya hiko kiasi.
Mashambulizi yamekua makubwa maana kila Twitter wakijaribu kufuta ujumbe, wadukuzi hufanikiwa kuja na ujumbe mwengine, wenye taarifa kama hiyo.
Hadi sasa USD 8 millioni zaidi ya billioni 20 zimeshaibiwa(yaani ndani ya saa moja tu). View attachment 1508007View attachment 1508008View attachment 1508009
Yupo Tweeter nae,anakula vichwa huko*Ontario akiona hii matajiri wote wabongo mmekwisha
... ajabu sana Chief! Mtu just online; humjui hakujui hata kama anatumia ID ya mtu maarufu, anakuambia nitumie pesa na wewe unatuma lazima uwe na ugonjwa wa akili sio bure.Wajinga hawaishi mjini
Yaani umpe mtu hela ili akupe mara mbili yake kwa nini asikupe tu?
... lakini na sie raia sometimes tuna tatizo. Hata kama ni message from a person like Bill Gates ya kutuma pesa kwenye akaunti au kwa means atakayokuwa amei-specify will it be OK kwa mtu mwenye akili timamu kutuma pesa simply 'Bill Gates' kasema tuma? Tena ndani ya muda mfupi wameshapiga mamilioni!Ila hawa wadukuzi wana akili sana, kwanza akaunt za Twitter za hao matajiri wawili zinaamikika na zaidi ziko verified.
Pili, ni vinara wa teknolojia na kwa kuwa njia yenyewe ya kutuma ni kimtandao na inahusisha bitcoin, kufuatilia mwenendo wa hiyo miamala sio kazi ndogo.
Mara zote nasema wahalifu wakati mwingine wanatumia akili ya kiwango cha juu sana kufanikisha mambo yao.
... lakini na sie raia sometimes tuna tatizo. Hata kama ni message from a person like Bill Gates ya kutuma pesa kwenye akaunti au kwa means atakayokuwa amei-specify will it be OK kwa mtu mwenye akili timamu kutuma pesa simply 'Bill Gates' kasema tuma? Tena ndani ya muda mfupi wameshapiga mamilioni!
Watakua vijana wake ndio wamefanya huo umafiaHushpuppy bado yupo arround...
Any security system is as strong as its weakest link. For twitter, its employees and internal access system is its weakest link.
Poleni sana wakuu. Uzuri watatoa report nili dunia nzima ijifunze fro their mistake.
Hackers need to get it right only once, wakati security professionals need to get it right everytime.Ila hao scammer inabidi wapongezwe kwakweli
Sasa Hivi Yupo Youtube Ana Channel Yake Ya Sirjeff DennisOntario akiona hii matajiri wote wabongo mmekwisha
Kumbe ndio Ontario 😂huyuSasa Hivi Yupo Youtube Ana Channel Yake Ya Sirjeff Dennis
USD 1,000/=‼️‼️???Tajiri haibiwi, masikini ndio anaibiwa.
Ukimuibia Bill Gates USD 1,000/=, unapata dhambi "ROBO KILO". Ila ukiniibia choka mbaya au ukinitumia ile sms ya hio hela tuma kwenye namba hii "BUKU TENI" yangu, basi unapata dhambi "KILO 1 na NUSU".