The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Karibu binti na mwana wa Afrika.
Nyota ni nini?.
Lugha za dini, huita bahati, Neema, upako, n.k Kinyume chake ni mikosi, laana, gundu, nguvu za mapepo wabaya, bahati mbaya.
Lugha za kidunia, Ni Zali, nyota, bahati. Kinyume chake ni gundu, laana, nyota chafu, n.k.
Kila jamii ina amini kama, kila mtu ana nguvu isiyoonekana ambayo inamuwezesha kujikinga na matokeo mabaya ( mikosi ), au kumsaidia kupata matokeo mazuri ( bahati ).
Kiasili ina maana ya mtu mmoja kununua hatima ya mafanikio ya mtu mwingine. ( kuuza mikosi kwa kununua Bahati ). Yaani kumpa mtu mikosi na yeye kukupa bahati.
Usilazimishe akili kufafanua utanielewa mbele.
Visa vya kuibiana nyota au kununua nyota. Havijaanza leo vilikuwepo hasa katika kizazi/zama za Yakobo, yule wa Biblia.
Ipo hivi.
Isaka alizaa mapacha wawili, Esau na Yakobo.
Neno mapacha ni kumaanisha watu wawili waliokuwa wameshibana, lao moja, watu walioaminiana mno.
Esau alikuwa ni mtu wa pilika ( muwindaji ), wakati Yakobo alikuwa ni mvivu ( home boy ) kwa lugha ya biblia ina mwita mtoto wa mama, sawa na lugha ya kihuni ya leo.
Neno mfugaji linamaanisha alikuwa ni muweka hadhina ( bank leo) wa Esau
( sawa na Yuda alivokuwa muweka hadhina wa Yesu, naye kwa tamaa akamuuza Yesu). Kwa yuda hawajatumia neno mfugaji sababu enzi za Yesu walitumia pesa kama leo, lakini enzi za Esau walibadili mali kwa mali.
Sababu ya tamaa ya kumiliki mali, alizomtunzia Esau, Yakobo alienda kwa mganga (Mama).
Mganga akasuka mpango wa Kununua Nyota ya Esau.
Sawa na matukio yanayofanyika leo, matukio ya kununua na kuuza nyota.
Katika biblia wametumia neno kununua ukubwa, yaani kununa hatima.
Ukichukua kitu muhimu, cha mtu bila ridhaa yake ni wizi.
Ila ukimshauri akupe kwa ridhaa, sababu ya faida fulani atakayopata toka kwako. hiyo ni biashara
Biashara ni kununua na kuuza, Unanunua kwa gharama ndogo unauza kwa gharama kubwa.
Esau aliuza ukubwa ( hatima/ nyota/ bahati) kwa kupewa chakula.
Anayenunua nyota si mganga/mnajimu, Ni watu wetu wa karibu. mtu ambaye ukiambiwa huwezi kuamini. Sababu ni mtu muhimu kwako, ndiyo maana biblia ikatumia neno mapacha.
Na anayeuza ni wewe mwenyewe, nyota ya mtu huuzwa na mlengwa.
Mwenye kuitaka nyota yako, ni lazima akutafute ili umuuzie, Sababu kiroho bahati ya mtu ina mamlaka na mtu mwenyewe. Yaani bahati ya mtu haiwezi kwenda kwa mwingine bila muhusika kuridhia.
Mfano. mimi na wewe tunauza mchele kwenye meza moja. Mimi kwa siku nauza gunia mbili, tatu, wewe ukijitahidi sana ni gunia moja.
Hata siku nisipokuja kuuza, wewe utauza vilevile gunia lako moja. Ila nikikwachia gunia zangu mbili uniuzie, na kweli uanze kuniuzia, basi siku hiyo utauza gunia zako zaidi ya unavyouza siku nyingine.
Inatokea hivyo sababu, umetembelea nyota yangu, baada ya mimi kutoa ridhaa.
Sababu nyota inachukuliwa kwa lidhaa, hivyo wachukua nyota utumia njia za kukulaghai wewe.
Atatafuta fedha kwa jasho lake. haruhusiwi kutumia ela ya mkopo, ya kupewa, wala isiyotokana na jasho lake.
Kisha hiyo fedha ataipeleka kwa mganga. ( Yakobo alimpa mama mfugo ili amwandalie baba)
Yaani Yakobo alimpa mganga fedha ili aiandae kwa ajili ya kuchukua baraka alizo barikiwa Esau.
Hiyo fedha ikitoka kwa mganga, ndipo unapewa.
Mtu anayetaka kukuchukulia nyota, atakupa fedha moja kwa moja. Heidha kwa kukopesha kama anasaidia au kukupa kama mtaji. Sababu ni lazima nyota aichukulie kwenye biashara. kupitia faida.
Uhalisia. Bank zote zipo chini ya IMF Bank. inayoendeshwa na ILLUMINAT, ndani ya Freemason.
Luminat / luminus ni neno la kilatini, lenye maana ya Nuru, Wakati Lucifer ni enye kusababisha Nuru, Mwana wa Nuru, ndani ya biblia ( shetani ) ndio maana kwa kilatini cha biblia Lucifer wanaifafanua kama shetani.
Ina maana Illuminat ni watangaza shetani. Hivyo kutengeneza mfumo wa Kifedha ili wakukopeshe, lengo ni moja.
Pesa yao ina nguvu ya shetani. Ndiyo maana mikopo yao ni mateso kwa watu.
Iwe umekopa kwa mtu binafsi, taasis, saccos, Kausha damu, au popote, ambapo pesa ina riba.
Ni sawa na umemkopa Luminat, yaani umeuza ukubwa wa bahati yako, ukubwa wa hatima yako kibiashara. zile alama za freemason kwenye hela si alama tu zina maana na nguvu.
Rejea kauli ya yesu kuhusu pande mbili za fedha. Angalia maisha ya wakopaji wengi wakubwa na wadogo.
Huanza kuyumba baada ya kukopa.
Jiulize kwa nini maandiko yanapinga riba, yalijuaje ya kausha damu leo?.
Si ktk hizo taasisi tu hata mitaani, watu wanakopa hawaoni matokeo, mpaka wanajihisi ni gundu.
Sio gundu chunguza, nani kakupa hela ya bure, nani kakukopesha hujamlipa, nani kakupa mtaji, na aliutoa wapi. nani kakupa ya riba. wengine si misaada , umeuza nyota yako.
Namna Wanunuzi wanavyojua nyota yenye nguvu, ( kubwa).
Wanaangalia mahusiano yako na watu.
unapendwa, una wateja kwa unachofanya, vingi kati ya unavyopanga na kufanya vinafanikiwa.
Na vingine vya kuonyesha kuwa ni mwenye bahati nzuri.
(Oanisha na mashart ya watoa mikopo).
Tuwe pamoja.
Sisi ni Afrika sisi tu umoja.
Nyota ni nini?.
Lugha za dini, huita bahati, Neema, upako, n.k Kinyume chake ni mikosi, laana, gundu, nguvu za mapepo wabaya, bahati mbaya.
Lugha za kidunia, Ni Zali, nyota, bahati. Kinyume chake ni gundu, laana, nyota chafu, n.k.
Kila jamii ina amini kama, kila mtu ana nguvu isiyoonekana ambayo inamuwezesha kujikinga na matokeo mabaya ( mikosi ), au kumsaidia kupata matokeo mazuri ( bahati ).
Kiasili ina maana ya mtu mmoja kununua hatima ya mafanikio ya mtu mwingine. ( kuuza mikosi kwa kununua Bahati ). Yaani kumpa mtu mikosi na yeye kukupa bahati.
Usilazimishe akili kufafanua utanielewa mbele.
Visa vya kuibiana nyota au kununua nyota. Havijaanza leo vilikuwepo hasa katika kizazi/zama za Yakobo, yule wa Biblia.
Ipo hivi.
Isaka alizaa mapacha wawili, Esau na Yakobo.
Neno mapacha ni kumaanisha watu wawili waliokuwa wameshibana, lao moja, watu walioaminiana mno.
Esau alikuwa ni mtu wa pilika ( muwindaji ), wakati Yakobo alikuwa ni mvivu ( home boy ) kwa lugha ya biblia ina mwita mtoto wa mama, sawa na lugha ya kihuni ya leo.
Neno mfugaji linamaanisha alikuwa ni muweka hadhina ( bank leo) wa Esau
( sawa na Yuda alivokuwa muweka hadhina wa Yesu, naye kwa tamaa akamuuza Yesu). Kwa yuda hawajatumia neno mfugaji sababu enzi za Yesu walitumia pesa kama leo, lakini enzi za Esau walibadili mali kwa mali.
Sababu ya tamaa ya kumiliki mali, alizomtunzia Esau, Yakobo alienda kwa mganga (Mama).
Mganga akasuka mpango wa Kununua Nyota ya Esau.
Sawa na matukio yanayofanyika leo, matukio ya kununua na kuuza nyota.
Katika biblia wametumia neno kununua ukubwa, yaani kununa hatima.
Ukichukua kitu muhimu, cha mtu bila ridhaa yake ni wizi.
Ila ukimshauri akupe kwa ridhaa, sababu ya faida fulani atakayopata toka kwako. hiyo ni biashara
Biashara ni kununua na kuuza, Unanunua kwa gharama ndogo unauza kwa gharama kubwa.
Esau aliuza ukubwa ( hatima/ nyota/ bahati) kwa kupewa chakula.
Anayenunua nyota si mganga/mnajimu, Ni watu wetu wa karibu. mtu ambaye ukiambiwa huwezi kuamini. Sababu ni mtu muhimu kwako, ndiyo maana biblia ikatumia neno mapacha.
Na anayeuza ni wewe mwenyewe, nyota ya mtu huuzwa na mlengwa.
Mwenye kuitaka nyota yako, ni lazima akutafute ili umuuzie, Sababu kiroho bahati ya mtu ina mamlaka na mtu mwenyewe. Yaani bahati ya mtu haiwezi kwenda kwa mwingine bila muhusika kuridhia.
Mfano. mimi na wewe tunauza mchele kwenye meza moja. Mimi kwa siku nauza gunia mbili, tatu, wewe ukijitahidi sana ni gunia moja.
Hata siku nisipokuja kuuza, wewe utauza vilevile gunia lako moja. Ila nikikwachia gunia zangu mbili uniuzie, na kweli uanze kuniuzia, basi siku hiyo utauza gunia zako zaidi ya unavyouza siku nyingine.
Inatokea hivyo sababu, umetembelea nyota yangu, baada ya mimi kutoa ridhaa.
Sababu nyota inachukuliwa kwa lidhaa, hivyo wachukua nyota utumia njia za kukulaghai wewe.
Atatafuta fedha kwa jasho lake. haruhusiwi kutumia ela ya mkopo, ya kupewa, wala isiyotokana na jasho lake.
Kisha hiyo fedha ataipeleka kwa mganga. ( Yakobo alimpa mama mfugo ili amwandalie baba)
Yaani Yakobo alimpa mganga fedha ili aiandae kwa ajili ya kuchukua baraka alizo barikiwa Esau.
Hiyo fedha ikitoka kwa mganga, ndipo unapewa.
Mtu anayetaka kukuchukulia nyota, atakupa fedha moja kwa moja. Heidha kwa kukopesha kama anasaidia au kukupa kama mtaji. Sababu ni lazima nyota aichukulie kwenye biashara. kupitia faida.
Uhalisia. Bank zote zipo chini ya IMF Bank. inayoendeshwa na ILLUMINAT, ndani ya Freemason.
Luminat / luminus ni neno la kilatini, lenye maana ya Nuru, Wakati Lucifer ni enye kusababisha Nuru, Mwana wa Nuru, ndani ya biblia ( shetani ) ndio maana kwa kilatini cha biblia Lucifer wanaifafanua kama shetani.
Ina maana Illuminat ni watangaza shetani. Hivyo kutengeneza mfumo wa Kifedha ili wakukopeshe, lengo ni moja.
Pesa yao ina nguvu ya shetani. Ndiyo maana mikopo yao ni mateso kwa watu.
Iwe umekopa kwa mtu binafsi, taasis, saccos, Kausha damu, au popote, ambapo pesa ina riba.
Ni sawa na umemkopa Luminat, yaani umeuza ukubwa wa bahati yako, ukubwa wa hatima yako kibiashara. zile alama za freemason kwenye hela si alama tu zina maana na nguvu.
Rejea kauli ya yesu kuhusu pande mbili za fedha. Angalia maisha ya wakopaji wengi wakubwa na wadogo.
Huanza kuyumba baada ya kukopa.
Jiulize kwa nini maandiko yanapinga riba, yalijuaje ya kausha damu leo?.
Si ktk hizo taasisi tu hata mitaani, watu wanakopa hawaoni matokeo, mpaka wanajihisi ni gundu.
Sio gundu chunguza, nani kakupa hela ya bure, nani kakukopesha hujamlipa, nani kakupa mtaji, na aliutoa wapi. nani kakupa ya riba. wengine si misaada , umeuza nyota yako.
Namna Wanunuzi wanavyojua nyota yenye nguvu, ( kubwa).
Wanaangalia mahusiano yako na watu.
unapendwa, una wateja kwa unachofanya, vingi kati ya unavyopanga na kufanya vinafanikiwa.
Na vingine vya kuonyesha kuwa ni mwenye bahati nzuri.
(Oanisha na mashart ya watoa mikopo).
Tuwe pamoja.
Sisi ni Afrika sisi tu umoja.