Jerry Farms
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 202
- 167
Tunaomba wizara husika itutolee ufafanuzi juu ya bei ya ruzuku ya mbolea : Mfano sms hapo chini👇🏾👇🏾
Ndugu XXXXXX Na. ------- umenunua DAP - 50 KG idadi 1 Tsh76701.33 kwa [TFRA-06----1] Kama hutambui manunuzi haya piga namba: 0800110153/4
NOTE: Bei anayopewa mkulima ni hio 76,701.33 ila ki uhalisia mkulima anakazwa Tshs. 77000.Je hii ziada ya Tsh. 300 kwa kila mfuko, serikali ni kweli haina taarifa nayo. Je, ni mpango wa serikali kuikata ama ni mawakala wana tuchinja sisi wakulima tusio na sauti.
Wahusika, tunaomba mtupatie ufafanuzi.
Ni Sisi wakulima wa kanda ya ziwa,. Wasalaamu.
Ndugu XXXXXX Na. ------- umenunua DAP - 50 KG idadi 1 Tsh76701.33 kwa [TFRA-06----1] Kama hutambui manunuzi haya piga namba: 0800110153/4
NOTE: Bei anayopewa mkulima ni hio 76,701.33 ila ki uhalisia mkulima anakazwa Tshs. 77000.Je hii ziada ya Tsh. 300 kwa kila mfuko, serikali ni kweli haina taarifa nayo. Je, ni mpango wa serikali kuikata ama ni mawakala wana tuchinja sisi wakulima tusio na sauti.
Wahusika, tunaomba mtupatie ufafanuzi.
Ni Sisi wakulima wa kanda ya ziwa,. Wasalaamu.