Xavi Hernandez Alcantara
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 278
- 285
Hahahahaha....Amka browengi watakuwa wameingia bure
LabdaTunakwama kwny tuta
2 si mchezo mzee ndugu.Mbona diamond mwaka Huu amejaza ukumbi mkubwa wa Columbus wa inchini Germany ambao kabla ajafanya yeye show hakuna msanii yoyote wa Africa aliyefanya hivyo na ticket zote zilikuwa sold out.sema kwa Tanzania hatuna wasanii wengi wanaofanya vizuri compare to Nigeria ukiachana na diamond wengine unawatafuta kwa tochi.
Mbona diamond mwaka Huu amejaza ukumbi mkubwa wa Columbus wa inchini Germany ambao kabla ajafanya yeye show hakuna msanii yoyote wa Africa aliyefanya hivyo na ticket zote zilikuwa sold out.sema kwa Tanzania hatuna wasanii wengi wanaofanya vizuri compare to Nigeria ukiachana na diamond wengine unawatafuta kwa tochi.
HahahahahaVideo ya ushahidi wa huu uongo
Eti mbona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona diamond mwaka Huu amejaza ukumbi mkubwa wa Columbus wa inchini Germany ambao kabla ajafanya yeye show hakuna msanii yoyote wa Africa aliyefanya hivyo na ticket zote zilikuwa sold out.sema kwa Tanzania hatuna wasanii wengi wanaofanya vizuri compare to Nigeria ukiachana na diamond wengine unawatafuta kwa tochi.
Huyu kweli Starboy
Ndio Mm kaka. XaviVitu vya kawaida sana kwa Star Boy,,vp bro wew ndo yule jamaa unatoa uchambuz kwenye group la simba kule fb?
HaaaUsishangae mkuu Mzungu hana kazi zaidi ya kutafuta viwanja vya starehe.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Usishangae mkuu Mzungu hana kazi zaidi ya kutafuta viwanja vya starehe.
Huyo mwanzisha uzi mbona hujamdai video ya ushahidi wa wizkid?. Au kwa sbb tu diamond ni mbongo?. Wabongo tunapigana uchawi wenyewe. Pamoja na uchawi wote dogo amewaacha mbali saaana wachawi wote. Alijaza ukumbiVideo ya ushahidi wa huu uongo
Wabongo uchawi mwingi. Watakuja mbio kukubishia. Ila mwanzisha uzi kuhusu wizkid watakubali kwa vigeregere kabisaMbona diamond mwaka Huu amejaza ukumbi mkubwa wa Columbus wa inchini Germany ambao kabla ajafanya yeye show hakuna msanii yoyote wa Africa aliyefanya hivyo na ticket zote zilikuwa sold out.sema kwa Tanzania hatuna wasanii wengi wanaofanya vizuri compare to Nigeria ukiachana na diamond wengine unawatafuta kwa tochi.