utawajua tu wenye viji roho vya kwanini....mmeshindwa kubalini na kupokea matokeo kama mlivokua mkijinadi ...Soooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Pole Nifah [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kumbukumbu muhimu;
1. Diamond Platnumz msanii pekee wa kiafrika kushinda tuzo mbili za MTV EMA kwa usiku mmoja.
2. Diamond Platnumz Msanii pekee wa kiafrika kushinda kipengele cha MTV Ema Best worldwide Act.
3. Ali kiba msanii pekee wa kiafrika kutulingishia na kutunyima usingizi kwa kuwa nominated tu MTV EMA.
(Natania tu [emoji41] nilitamani airudishe tuzo nyumbani)