Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti huna team[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Ngoja nikachekee chooni
maana hapa nilipokaa nimezungukwa na team Kiba,
......
N.B
Mimi sina team
Hahaha kama namuona duller squarw amempigia debe wizkid maana hampend kiba hata bureeHongera wizkidayo you deserve kwa kweli
Zsbb kiba kashidwa angekua diamond kashindwa hehehe leo usionge ongea habari za teamNarudia tena na tena na tena
Izi timu zinawamaliza wasanii wetu
laivu mi sina team mwana, mi ni shabiki wa muziki muzuri... Hahah
laivu mi sina team mwana, mi ni shabiki wa muziki muzuri... Hahah
Amechukua wap tena ndg?LEO NI SIKU YANGU YA FURAHA KWA KWELI,NIMEFURAHI KULIKO MAELEZO,WALIKUWA WANAJITAPA KABLA HATA YA KUPATA KELELE NYINGIIIIIIII HAKUNA LOLOTE ALIDHANI HIZI NI KTMA. MWENYE HADHI NAZO NI DIAMOND TU KWA AFRICA NZIMA.
![]()
Hujui kuwa hizi tuzo alizokosa kiba mwaka jana alichukua DIAMOND,vipengere vyote viwili na akapata tuzo mbili ......... Kama hapo sasa Wizkid atashindanishwa na yule wa India kama atashinda atachukua tuzo mbili na akishindwa anaondoka na hiyo moja.Amechukua wap tena ndg?
Iv kumbe ni kweli nimeona hii pic ndo nimeamini nguo ilikua ndogo![]()
![]()
Maskini kimando kipensi jana yenye shutu imembana hata kunyoosha mkono kashindwa n kura zote walizokuwa wanapiga hii team ya babu kiba wamekufa tuzo
huo ni uchochezi, mi mwenyewe sina team [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23].Eti huna team[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Stunter, MO11, peninsula, iceman 3D na hance mtanashati mnajulikana. sema kila siku mnasema hamna team[emoji13] [emoji13]