Wizkid ambwaga Alikiba, ashinda Mtv Ema Award

Mimi nikisikia msanii yoyote wa Tanzania aliyekuwa anashabikia CCM mwaka jana kwenye kampeni ili watanzania tusome namba AKISHINDWA KUPATA TUZO HUWA NAFURAHI SANA.

Naona furaha yangu leo ni kubwa sana, hakuna cha Kiba wala Mondi, wote wana haha tu. Na bado, huu ni mwanzo tu.
 
Wasanii wa Kibongo wasubiri tuzo za CCM, Zinakuja muda sio mrefu, Nape na Ole Sendeka wataziandaa.
Nitawasiliana na January Makamba ili tuzo zianze.
 
Huyu.dogo.hana.mpinzani kwa.sasa. kama.diamond aligalagazwa mtv mama itakua yooooh
 
Hivi Tuzo za Kisima mwaka huu hazipo?! Msiniulize kwanini naulizia hizi tuzo tafadhali...
 
ni kweli maana huyo jprazzah tulikua hata hatumjui
na anamkubali diamond sana..
kashawahi kufanya video inafanana na mdogo mdogo ya diamond..
baadae naona akaona amfate Dar
na wanaconcert nahisi december
 



Maskini kimando kipensi jana yenye shutu imembana hata kunyoosha mkono kashindwa n kura zote walizokuwa wanapiga hii team ya babu kiba wamekufa tuzo
[emoji3] [emoji1] [emoji2] ...komando kipensi
 
hivi katika category hiyo walikuwa wawili tu.....????
 
Tuzo kitu gani bwana [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 



Maskini kimando kipensi jana yenye shutu imembana hata kunyoosha mkono kashindwa n kura zote walizokuwa wanapiga hii team ya babu kiba wamekufa tuzo
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hii suti
 
Msijali Zipo Zetu EATV Awards Tunachukua Maana Dullah Planet Ndo Jaji, Bado Siku 2. Supported By Kiba - KingKiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…