Wizkid amemfundisha Diamond what it means to be an international artist

Wizkid amemfundisha Diamond what it means to be an international artist

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Kwa wale tuliobahatika jana kuwepo pale Leaders nadhani tulijisikia vibaya sana kuona mtoto wa nyumbani Diamond bin Laden alivyofanya show substandard ukilinganisha na Wiz Kid.

Kiukweli Diamond alishindwa tumia uwanja wa nyumbani na hivyo kumpa points kibao Wizkid. Wizkid alimfunika jamaa kuanzia stage, energy aliyokuanayo, shangwe, bila shaka hata hela aliyopewa kabla ya Wizkid kupigilia msumari wa mwisho kwa kurudia wimbo wake wa Ojuelegba.
 
Wizkid ni habari nyingine,huyo domo anawaonea wasanii uchwara tu wasio na ujanja mwingi.
WizkidAyo #Starboy
 
DIAMOND ni mtumbuizaji bora Africa upende usipende ndo imeshakuwa hivyo na haya si mawazo yangu tu hata MTV wameliona hilo na ndo mana tuzo hiyo hiko mikononi mwake. lakini pili mimi nimeona Wiz Kid kafunikwa kwa sababu ile shoo ilikuwa rasmi yake yeye lakini hakuna cha maana halichofanya. Na je mwajua kuwa jana musiyempenda kachukua tuzo nyingine kama hujui habari ndo hiyo.
 
....wameliona HILO na........ hiyo HIKO mikononi........maana HALICHOFANYA. ........jana MUSIYEMPENDA kachukua.........

USHAURI:

Nenda kwanza shule halafu uje hapa
 
....wameliona HILO na........ hiyo HIKO mikononi........maana HALICHOFANYA. ........jana MUSIYEMPENDA kachukua.........

USHAURI:

Nenda kwanza shule halafu uje hapa
sasa sijui nani hapa aende shule?
 
Mmeanza., hahahaa. Uchaguzi umeisha siyo.??
 
Hilo pini la Ojuelegba tamu sana ila dogo bado hajamfikia diamond.
 
Back
Top Bottom