brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Baada ya Mtv ema kumpatia Alikiba tuzo ya african act kutoka kwa Wizkid ,mashabiki wa Tanzania hasa wa Alikiba wamevamia ukurasa wa Instagram wa star huyo wa Nigeria na kumtukana.
Leo Wizkid ameshindwa kuvumilia baada ya shabiki mmoja kumtukania mama yake.
Watanzania sijui nani katuroga huko instagram
Leo Wizkid ameshindwa kuvumilia baada ya shabiki mmoja kumtukania mama yake.
Watanzania sijui nani katuroga huko instagram