Mmmh kumebuma vipi wakati nigeria kila baada hazipiti 20 kidogo inapigwa kwny vituo tofauti vya radio na TvTatizo anapenda u star hafu hakula ujana naona bongo kaupata ustar alioutaka naona kwa p square kilibuma wa Nigeria hawashobokei ujinga.
hawa wanakoelekea, watatuma na nyeti za wenzi wao humu tuthaminishe!![emoji2]atume picha ya mke wake na wewe ya demu wako tulinganishe
unawezaje kumlaumu wizkid?
Kwa Shishi bado sana huyu bishosti. Kwanza bado ananuka shombo la utoto...
Kwani ni nani huyo diva?Tatizo anapenda u star hafu hakula ujana naona bongo kaupata ustar alioutaka naona kwa p square kilibuma wa Nigeria hawashobokei ujinga.
Kama mpaka na wewe umekubali basi hoja imepitwa bila kupingwaAiseee mtoto ni mkali haswaaa hongera yake
Mkuu...Mmmh kumebuma vipi wakati nigeria kila baada hazipiti 20 kidogo inapigwa kwny vituo tofauti vya radio na Tv