Wizkid ashangazwa na bei ya midoli ya ngono ‘Sex Dolls’

50% ya watoto wanaozaliwa kila Leo hospital[WA-KIKE]

35% ya watoto wanaozaliwa kila Leo hosptal[WA-KIUME]


Wanaobaki hufa kwa7b mbalimbali kipind wanazaliwa.

WANAWAKE WANAZID ,WANAUME TUNAPUNGUA.....Nini HAJA na LENGO la SEX DOLL? kwa wanaume
Lengo la SEX dolls ni SEX...

...without a pathetic complicated relationship.

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Mwenyezi Mungu, tunusuru na haya Mabalaa ya Dunian.
Tunapoelekea ndio kubaya zaidi tofauti na tunapotoka Sasa.

Wazungu wanamlengo tofauti sana na hii Sayari ya Dunia.
Ila ndo waliokuletea dini. Just sayin...
 
Kama ataweza kushika mimba na kuzaa Hata mil20 ntanunua
 
BEI LAZIMA IWE JUU maana mdoli haendi bridi, humpi nauli, unampodoa unavyotaka na gemu unapiga hadi we uchoke...mie nipeni link nifanye order
 
Mwenyezi Mungu, tunusuru na haya Mabalaa ya Dunian.
Tunapoelekea ndio kubaya zaidi tofauti na tunapotoka Sasa.

Wazungu wanamlengo tofauti sana na hii Sayari ya Dunia.


Sasa unaongea Mungu atunusuru, halafu unawasema vibaya wazungu wenye Mungu wao.
 
Msilalame...ukilala nalo unatakiwa uvute hisua za demu wa ukweli...aliyekukataa ndio mzuri zaidi..kileleni lazima...halafu halihitaji out lands upende tu..haya stop linalala...walete tukakope bank tununue siye
 
Watengeneze yenye muonekano wa kiafrika yatauzika sana.
 
Sasa unaongea Mungu atunusuru, halafu unawasema vibaya wazungu wenye Mungu wao.
Kwani wazungu Mungu wao nani na wewe Mungu wako nani?
Kumbe kila MTU hapa Duniani anakuwa na mungu wake?

Nijuavyo mimi kila MTU ana Dini yake ila Mungu ni wa Watu wote, uwe Muslim , Christian or mpagani woote mungu wao ni mmoja tu.

Jipange mkuu huu Uzi Sio wa imani za kidini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…