Wizkid, Diamond na Mr. Flavour waula, kuandika historia Africa

Wizkid, Diamond na Mr. Flavour waula, kuandika historia Africa

We jamaa bhana, unajitahidi kuwaondoa watu kwenye mada kisa katajwa DIAMOND,mbona haujiulizi kuwa Mr. Flavor au WizKid kama ni zaidi ya Davido ......au ni vile tulishazoea kuwa nyuma basi kila kitu unajiona haustahili ......SASA WEWE ENDELEA KUUGULIA KAMA DAVIDO YUPO JUU YA DIAMOND AU LAA,ILA TUNACHOKIJUA DIAMOND NI MMOJA KATI YA WASANII WATATU WAKUBWA AFRICA WALIOCHAGULIWA KUTUMBUIZA KTK SHOW HIYO.NDIO IMESHAKUWA HIVYO UNAMPENDA AU UMPENDI KESHAMPITA NA WALA HATOMFIKIA KAMWE HUYO UNAYETAKA WEWE AWE.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
mimi nna element ya ubishi mbayaaa.. ila ngoja nisiharibu thread tuendelee kuchangia kwa upendo
 
Hivi kwanini mwanzake hapati madili ya heshima kama haya? Naona msaada wa kuzomea Chibu haukumbufaisha.

Tusubiri KTMA itakuja na hila gani.
 
Hii itatisha balaa, ni first step ya kuingiza African music soko la nje.
Watu hua wanam~underestimate sana Platnumz ila ni mtu mwenye focus ikija kwenye swala la music, na sa hivi ashaanza kuiga mambo ya DonJazzy Mavin Records kusign wasanii kwenye label ya WCB, miaka kadhaa baadaye atakua na pay moja ya hatari sana.
 
Diamond anajua kutumbuiza live? Zile za mikono juu mara twende kwa kizungu keshajifunza?

Go domo.. go!
Wenzako huko Nigeria wanamtofautisha Diamond na Davido, wanasema uzuri wa Diamond Ni Performer..
 
Hivi kwanini mwanzake hapati madili ya heshima kama haya? Naona msaada wa kuzomea Chibu haukumbufaisha.

Tusubiri KTMA itakuja na hila gani.
Mwenzake hataki hizi mambo, ndo maana baada ya ile project kubwa kabisa ya Music iliyowaweka Mastar wa Africa kipindi kile Pamoja na R Kelly! Ilipoisha akarudi kucheza na Dada nyumbani, Ana aleji na hizi international music project.
 
Back
Top Bottom