Wizkid In Dar: Fursa kwa wasanii wa Bongo

kedrick

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
5,080
Reaction score
4,914
Msanii wa kimataifa Wizkid anategemea kufanya show ya kufa mtu siku ya 31 October 2015 show itwayo Wizkid in Dar katika viwanja vya leaders club.
Hii pia ni fursa kwa wasanii wa bongo fleva kufanya collabo na one among the talented artist in Africa na kupenyeza mziki wa bongo fleva kimataifa Kama Mr Icon Diamond Platinumz
 
Awe makin wakina Tale wasije wakampiga ndere kama walivyompiga Neyo hadi wakafanya collabo kirahisi
 
Kwa uyu dogo hakika narudia enzi zangu,nitachoma jasho la mwarabu mpaka hapo mjini kwenu ili nimshuhudie Star Boy namuelewa sana uyu kid duh hawa wanasiasa wamalize mambo yao kwa amani usije kuta hiyo tarehe niko mpakani nasaka hifadhi maana seleka halina mwenyewe acha tu.
 
😀😀😀😀😀😀 dash
 

teh teh teh umetisha mkuu ila hapo kwenye suala la uchaguzi umenena ya kweli
 
Kaz kwenu mliompgia kura mkamsahau king wenu
 
Hahaaa!sema king kajtahid kufata nyayo..kazama kwa jokate,kaanza urafk na wema,karuka kwa godfather,kashoboka kwa davido na ne-yo,kaenda cock studio,anapga shoo ccm but ziiiiiiiiii
 
nampa polwe Ali keyo kaunguza nauli za kukwea ndege na asipate tuzo poleni team kiba na rockstar kiujumla.
 
Hahaaa!sema king kajtahid kufata nyayo..kazama kwa jokate,kaanza urafk na wema,karuka kwa godfather,kashoboka kwa davido na ne-yo,kaenda cock studio,anapga shoo ccm but ziiiiiiiiii

Haaah tatizo nyota
 

Haaaah show si ya kukosa hii
 
Kumbe radio yangu kipenzi

East Africa radio show zao wanakuwaga wamejipanga kama ile show walio waleta p.square ilikuwa hatari sana na hii itakuwa Kali tu
 

Mkuu kati ya wasanii ambao ni ngumu saana kumpata kufanya nae collable kwa msanii asio wa naija ni Wizkid, kijamaa kina mambo mengi saaaana!

Kama unakumbuka, lina kabla ya kutoa wimbo wa No stress alipanga kuja kutoa wimbo akimshirikisha wizkid na alivyoongea na Sunday meneja wake wizkid aliambiwa "Licha ya gharama nyingine kama usaafiri na hotel wakati wa video n.k kushirikishwa itamgharimu millioni 45 za kitanzania na bado watamfikiria kama watakubali offer ya kushirikishwa" Hahahahahaha linah akaona bora akimbie, sasa misanii ya bongo ilivyo mibahili hahaha hawatajaribu kabisa, japokuwa ninafahamu swala la kutozwa pesa au la linategemea pia na jina la ukubwa wako wewe kama msanii na collable itampa impact kiasi gani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…