Wahuni nna gheto languMi pia namkubali sana mwamba geu, chuma nondo steel wire, kuliko man fongo (promo zinambeba sana). Sholo anajua, magoma kama sembe tembele, sayona, sina msaada, panya, geto, kazi kazi (kolabo na prof jize) zote ni noma. Ana amsha amsha sana kiukweli
Mwaga maji tucheze kama kambaleWahuni nna gheto langu
Mashosti wanalala
Masela wanalala...
Hivi watu wanaielewa Singeli kweli au wanafurahia kelele? Hakunaga kama Mwamba Geu...
mi simjui huyo sholo mwamba..ila kama yupo bas Single moja ya Man fongo imehit kuliko album ya sholoMwaga maji tucheze kama kambale
Mwaga tena mwanangu kama kambale
Huyu sholo wamuache tuu kama alivyo, yeyote anaejua singeli na kuifuatilia atakua anajua wazi kua sholo anajua kuliko huyo man fongo. Sholo hakopeshi, ni amsha amsha mwanzo mwisho tangu enzi zile wakati anatoa ngoma kwa dj tito, kabla hata ya kuingia kwa mesen
Mwaga maji mwaga tena,mwaga maji tucheze kama kambaleToa uchafu wa Sifongo weka Mwamba geu Sholo watu wateleze kama kambare na kiuno cha mgando
et umalaya wa waTzUmalaya wa Watanzania ndio umeipa kiki Hainaga Ushemeji, tafuta wimbo wa Sembe Tembele ft. Mesen na video yake ni ya kimataifa. Oops, Mwamba Geu amefanya wimbo na Mbunge, wimbo bora na inspirational kuliko zote za Singeli.
In Fwakti Man Fongo anapotezwa na wengi tu, pamoja na Mtoto wa Mama Shamte, Dogo Nigga na kadhalika.
Ignorance yako kuhusu Muziki haitengezi odds, 'hit' ni tofauti na muziki mzuri...mi simjui huyo sholo mwamba..ila kama yupo bas Single moja ya Man fongo imehit kuliko album ya sholo
Tutasema yote lakini mwisho wa siku mwaga maji tucheze kama kambale!
Basi huna sababu ya kubishania usichokijua mkuu, tunaofuatilia vizuri singeli kabla hata haijatoboa kwenye media tunajua mwamba Geu ndio fundi wa hizi kazi. Kama humjui sholo naweza kukutumia ngoma zake kuanzia panya, sayona, sina msaada, sembe tembele, geto na kadhalika, na za huyo man fongo kama ile hauna, tekenya na kadhalika afu ulete mrejesho hapami simjui huyo sholo mwamba..ila kama yupo bas Single moja ya Man fongo imehit kuliko album ya sholo
Weka tena tunamageto,tunamagetoIgnorance yako kuhusu Muziki haitengezi odds, 'hit' ni tofauti na muziki mzuri...
Inawezakana Man Sifongo kaja kuhit, ni vema na haki. Mwamba Geu ni nabii wa huu muziki, nadhani ndio msanii wa kwanza kufanya mradi wa maana kwenye Singeli, kurekodi kisasa, kutoa video ya kisasa na kuwavuta wasanii Wakongwe na Wakubwa kwenye Singeli.
Shollo ni Mwanamageuzi, akina nyie hamfuatilii huu muziki, mnasikia makelele ya kwenye magrupu ya WhatsApp na mitandaoni...
Tutasema yote lakini mwisho wa siku mwaga maji tucheze kama kambale!
Kwa nnkuna watu hamna aibu
In Fwakti Man Fongo anapotezwa na wengi tu, pamoja na Mtoto wa Mama Shamte, Dogo Nigga na kadhalika.
Swali kwenu wadau,
SWALI: Kati ya Man Fongo na Wiz Kid wakipanda jukwaani nani atamfunika mwenzie kwa performance na kuamsha amsha wananchi??? Hahahaha...
Mpambano huu ni hatari, yaani hata aje Chris Brown mwaka huu kwa Man Fongo atakaa
Proudly Tanzanian
eti wizkid ft man fongo au man fongo ft chris brownKwa nn
kwanza ndio wewe au sio wewe ?Swali kwenu wadau,
SWALI: Kati ya Man Fongo na Wiz Kid wakipanda jukwaani nani atamfunika mwenzie kwa performance na kuamsha amsha wananchi??? Hahahaha...
Mpambano huu ni hatari, yaani hata aje Chris Brown mwaka huu kwa Man Fongo atakaa
Proudly Tanzanian
Hahhahahahahahahahahaeti wizkid ft man fongo au man fongo ft chris brown
mambo gani haya ya kutiana aibu
kwanza ndio wewe au sio wewe ?
Umerudi lini huku
kwanini ulipotea ?