Wolper afunguka pesa itayogharimu harusi yake

Wolper afunguka pesa itayogharimu harusi yake

Anaota huyu
Wasani 4 juu yake ndo itoshe 10mil,au marekani ya moshi[emoji23] [emoji23]
 
Ila kiukwel wasanii nak ni binadamu wana hisia kwel ukiangalia hali ya huyu dada anataman sana ndoa aitwe mke wa fulan lkn kutokana na historia zao wanakosa wanaume wa kuwaoa sababu kila mwanaume mwenye kujiheshim anakua haamin kama ni wife material mwisho wake anaangukia kwa vijana wenye lengo la kumuonja na kumtema ..
 
Kwa kipi ??? Cha kugharamia hapo.
muoaji anaumizwa hapo ndo ajue wasanii wetu hawa tunawaweza wenyewe,ndikumana alimuona uwoya kwa mbwembwe nyingi kajifia kwa preasha dogo njanja anakula mzigo kilaini,mange aliolewa ,mbwembwe kibao km malaika jamaa kamtua marekani katosa.
huyu mwche asindikizwe na mashoga kesho tu tutaskia yuko mtaani jamaa kabwaga,halafu hapo wa mtaani nao wataonja onja
 
muoaji anaumizwa hapo ndo ajue wasanii wetu hawa tunawaweza wenyewe,ndikumana alimuona uwoya kwa mbwembwe nyingi kajifia kwa preasha dogo njanja anakula mzigo kilaini,mange aliolewa ,mbwembwe kibao km malaika jamaa kamtua marekani katosa.
huyu mwche asindikizwe na mashoga kesho tu tutaskia yuko mtaani jamaa kabwaga,halafu hapo wa mtaani nao wataonja onja
Wanajitutumua, kujitangazaaa utadhani wana jipya! Wakijifanya kuishi maisha ya juuu kumbe wa kawaida sana sana. Maisha halisi ya mtanzania wa kawaida sana.
Mambo yao ya kisanii sanii tofauti kabisa na hali halisi ya maisha wanayoishi.
 
Hivi Enginee___ ni mziki tu ndio unampa pesa au ana bi$$ness nyingine?
 
Hivi hizi ahadi wanazotoa waalikwa huwa wanazitimiza? Kama harmonize ameahidi Noah kumpa shilole inakuwa kweli au mbwembwe tu?
 
View attachment 676149 Mwanadada mwanamitindo na mwigizaji maarufu nchini, jackline Wolper Massawe ametangaza makubwa ujio wa ndoa yake inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni mara baada ya kuwa tayari ameshatolewa mahali.

Wolper amedai kuwa ndoa hiyo inatarajia kugharimu kiasi cha shilingi milioni 60 za kitanzania, ikiwa milioni 50 kutumika kwa ajili ya harusi itayofanyika Dar huku milioni 10 kutumika harusi itayofanyika Marekani.

“Milioni kama 50 zitatumika kwenye sherehe ya hapa Bongo na nyingine 10 nje kwa sababu kule Marekani hatutakuwa na watu wengi sana,” alisema Wolper.
Akizungumza hayo pindi alipohojiwa na moja ya chombo cha habari mjini , Wolper amesema kuwa kwenye harusi inayotarajiwa kufanyika Marekani anatarajia kusindikizwa na wasanii wanne akiwepo Anty Ezekiel, huku wengine watatu bado hawajajulikana kwa majina yao.

‘’Wasanii ambao nitaenda nao kwa ajili ya kuhudhuria harusi yangu ni wanne tu, mmoja kati yao ni Aunt Ezekiel kwa sababu huwa ananipa sapoti kwenye biashara zangu hivyo siwezi kumwacha,” alisema Wolper

Wolper amesema kuwa gharama zote za wasanii watao msindikiza zitaakuwa juu yake yaani kuanzia usafiri wa hapa nchini hadi pesa yao ya kujikimu pindi wawapo nchini Marekani.


Dar 24
Halafu baadae waje kulia kulia kama yule[emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Kuna wanaume wenye roho ngumu duniani kama huyu mume mtarajiwa..

Wolper kaliwa mzigo na wanaume zaidi ya 10 wanaojulikana achana na wasiojulikana na bado mtu anatangaza ndoa...seriously
 
View attachment 676149 Mwanadada mwanamitindo na mwigizaji maarufu nchini, jackline Wolper Massawe ametangaza makubwa ujio wa ndoa yake inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni mara baada ya kuwa tayari ameshatolewa mahali.

Wolper amedai kuwa ndoa hiyo inatarajia kugharimu kiasi cha shilingi milioni 60 za kitanzania, ikiwa milioni 50 kutumika kwa ajili ya harusi itayofanyika Dar huku milioni 10 kutumika harusi itayofanyika Marekani.

“Milioni kama 50 zitatumika kwenye sherehe ya hapa Bongo na nyingine 10 nje kwa sababu kule Marekani hatutakuwa na watu wengi sana,” alisema Wolper.
Akizungumza hayo pindi alipohojiwa na moja ya chombo cha habari mjini , Wolper amesema kuwa kwenye harusi inayotarajiwa kufanyika Marekani anatarajia kusindikizwa na wasanii wanne akiwepo Anty Ezekiel, huku wengine watatu bado hawajajulikana kwa majina yao.

‘’Wasanii ambao nitaenda nao kwa ajili ya kuhudhuria harusi yangu ni wanne tu, mmoja kati yao ni Aunt Ezekiel kwa sababu huwa ananipa sapoti kwenye biashara zangu hivyo siwezi kumwacha,” alisema Wolper

Wolper amesema kuwa gharama zote za wasanii watao msindikiza zitaakuwa juu yake yaani kuanzia usafiri wa hapa nchini hadi pesa yao ya kujikimu pindi wawapo nchini Marekani.


Dar 24
Huyu manka nae kujisifia tu kma wastara ila mwisho wa cku hana kitu,bongo movie ni shithole
 
Back
Top Bottom