Wolper amwangukia Mkongo


Hhhhhhaaaaaaaaaaaaa, ,,ushawah kupata kademu kabaya eeeee ukawa katika hali hiyooo
 
Kajisemea Matola, Dinazarde anapenda umbea vitendea kazi hana, mi mwenzie apa nina smart phone mbili na power bank tatu, sasa simu yangu inaanzaje kukosa charge umeme ukikatika? Binamu unaniangusha

Binam hata hiyo power bank siijui mieee
 
Last edited by a moderator:
Umeona mwaya eeh?ukiamua kuuza papuchi uza kweli kimaslahi sio kijinga kama wanavyofanya hawa wadada wa bongo...vera habari nyingine wewe...hivi keshamaliza kusoma?anajua kuchora hatariii

Jaman hivi hyo vera ni yupi????
 
Kajisemea Matola, Dinazarde anapenda umbea vitendea kazi hana, mi mwenzie apa nina smart phone mbili na power bank tatu, sasa simu yangu inaanzaje kukosa charge umeme ukikatika? Binamu unaniangusha

Bora binamu umeliona hilo, mwambie tupige game nimalize vishida vyake vidogovidogo.
 
Last edited by a moderator:
Inategemea hiyo pombe unainywea wapi. Matola kasema alinunua 45, bshaka alinunua kwenye maduka ya vinywaji na sio hotelini. Kuna hoteli nilienda kula Mbunye nakumbuka niliinunua 70elf.
 
Kuna movie naangalia inaitwa Notorious,imeonyesha BIG hakumuua Tupac,inasikitishajeeee lo mi nilikua nampenda Tupac anavyoimba bana Viol njoo basi unisimulie
Halaf BIG alikua kitombi nae
 
Last edited by a moderator:
Inategemea hiyo pombe unainywea wapi. Matola kasema alinunua 45, bshaka alinunua kwenye maduka ya vinywaji na sio hotelini. Kuna hoteli nilienda kula Mbunye nakumbuka niliinunua 70elf.

Usibwabwaje without know how, kwanza mimi siyo Matola, pili vikao vyetu vya kazi tunafanyia Kili na wananijuwa upande wa restaurant zao za lobby achana na level 8, kingine lazima ujuwe kama wewe ni mtu wa kuzurura mahotelini kama mimi upande wa bar mahotel yote kuna happy hour sasa usilazimishe ushamba wako uwe sawa na mimi.

Mimi siku za kawaida nakunywa kahawa tu na maji pale Kili kwenye vikao vyangu ikitokea weekend nimepandisha level 8 yule manager mzungu uleta complimentary ya viglasi vidogo vya mix tikila kwenye meza yetu.

Wewe kama siku hiyo ndio umepata mshahara wako wa kubeba zege ukapigwa kwa bei hiyo usishangae maana hamtakiwi na hata kama ungetaka kuongeza chupa ya pili ungeambiwa Moet zimekwisha.

Mnakula michemsho ya hovyo Mango garden wakati mpaka leo serena hotel buffee ya lunch ni sh 15,000/= tu

Kina Bazili Mramba pamoja na utajili wao wanashinda pale kusoma magazeti kupoteza muda kwa kununuwa kahawa ya buku 10 na maji ya kili tu.
 
Kajisemea Matola, Dinazarde anapenda umbea vitendea kazi hana, mi mwenzie apa nina smart phone mbili na power bank tatu, sasa simu yangu inaanzaje kukosa charge umeme ukikatika? Binamu unaniangusha

Ntakuja uniazime power bank moja binamuu...
 
Last edited by a moderator:

Basi wewe na Matola ni mapacha...mmefanana hadi mwandikoo ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…