Sijamfatilia mda kidogo ila nawaelewa sana mastaa wa kenya hata ug...mtu akitulia akadanga anadanga kweli...hebu cheki vera na huda wanashindana pesa sio kugombania wanaume...atleast hata huda anafungua brand yake vera nae atajibu mapigo...ila bongo sasa madam na kajala ushindani wa ck duuh.....ukimcheki zari the bosslady yule ndo funga kazi hata kama pesa yake ya madawa lakini hanaga bif za kijinga
Khaaa wewe mrembo una umbea first class....
amu ameuliza hiyo bei ni sh.ngapii kwiii kwiiii tujue ni kilevi au juice
Kweli kabisa...wenzetu wako mbele sana..kumbe zari ni sembe???
Ndio hapo. Hivi hawajui usichana na urembo Una mwisho? Uwoya sidhani Kama hata wa kumpa shikamoo yupo. Laana ya ndikumana inamuandamaAnajitahid kuishi vzur, ila angekuwa na kazi ya maana angependeza zaidi, sema wenyewe kazi umalaya tu na kuuza tigi
Hako ka bwana kadogo ni calisah?mwenyewe anagombewa sijui ana nini....
Hahaha umbea business class ohhhhahahaa unaweza pia kuuita umbeya grade one uuwii, ee kweli vi caption vya hivyo niliviona
Huyu Wolper ajiandae kumpokea Laveda amsage mpaka achizike,mkongo hua anafikia hotel kumbe ndio wanamiminika hapooo aiseeee pesa hiziii, wema mkongo,lulu mkongo,wolper mkongo
umemsahau husna naskia ndio yupo zamu kwa sasa
Moet mie nazionea tu kwenye picha kama hivi kwa wolper hahahah bei nitazijulia wapi mine mwana wa mkulima ?
Vitu hadimu lazima wapige navyo picha, k-lynn mda huo anatoa wapi wakat ana uhakika wa maisha mazur mpak anakufa
Ndio hapo. Hivi hawajui usichana na urembo Una mwisho? Uwoya sidhani Kama hata wa kumpa shikamoo yupo. Laana ya ndikumana inamuandama
Kweli kwa hiyo hana pesa vilee hata za kula bata, kwa hiyo wolper anamhonga galisah
USO wake unaonesha alivyo choka yani anajiweka uchi ila wapiiii, Mara amposti ndikumana ila ndio hivyo. Unamiuacha mtu kisa maskini unakaa vikao vya strategic planning na Mungu?Si bora yeye kuliko uwoya jamani...alikua mrembo ila ndio hivyo kafulia hatariii
Nasikia sasa hivi anampa 0713 richie
Ndio hapo. Hivi hawajui usichana na urembo Una mwisho? Uwoya sidhani Kama hata wa kumpa shikamoo yupo. Laana ya ndikumana inamuandama
Sijamfatilia mda kidogo ila nawaelewa sana mastaa wa kenya hata ug...mtu akitulia akadanga anadanga kweli...hebu cheki vera na huda wanashindana pesa sio kugombania wanaume...atleast hata huda anafungua brand yake vera nae atajibu mapigo...ila bongo sasa madam na kajala ushindani wa ck duuh.....ukimcheki zari the bosslady yule ndo funga kazi hata kama pesa yake ya madawa lakini hanaga bif za kijinga
Jamaniii kwani zile hotel nyota tano hujaenda tu siku ukienda ziuliziee bei sawaaaa
Cha kufanya auvae ijasiri amuombe msamaha inshalah Mungu atafungua njiaYani hata jina lake limeishasahaulika masikioni mwa watu.Alichezea bahati nahisi kila siku anajuta upumbavu alioufanya
Nikipita kuelekea kigamboni nitasimama pale Hyatt nikuulizie bei