Zari hela aliikuta kwa ex au baba watoto wale. Ila ndo ameachiwa kila kitu na akili ya kuendeleza Mali anayo
Kwanini waliachana jamaniii looo,kwa hiyo x mume wake yuko wapiii
Cha kufanya auvae ijasiri amuombe msamaha inshalah Mungu atafungua njia
Kwanini waliachana jamaniii looo,kwa hiyo x mume wake yuko wapiii
Alikuwa na mchepuko
....afu alikuaa mzuri sana mumewe jamani
Alikuwa na mchepuko
Unataka niitiwe kigodoro cha kimataifa cha msuto hahah mume wa zari ndo aliamua kuchepuka naona zari aliamua kuachia akaona isiwe tabuMume wa zari alikua na mchepuko
Unaniudhii kuandika nusu japo sikulipiiiii
Unataka niitiwe kigodoro cha kimataifa cha msuto hahah mume wa zari ndo aliamua kuchepuka naona zari aliamua kuachia akaona isiwe tabu
Jamaniii kwani zile hotel nyota tano hujaenda tu siku ukienda ziuliziee bei sawaaaa
Kumbeeee
Oooo naeeee si angetafuta mbinu za kumbana mmewee utaacha wangapii wanaume wetu hawaaaa
Wewe nakwambiaga unapenda umbea ila vitendea kazi huna, kuna Moet Hennesy na Moet shampeni mwaka jana mimi niliuziwa kwa sh 45,000/= sijui kwa sasa maana mimi ni mtu wa bia hiyo niliagiza kwa ajili ya mtu maalum.
Wewe nakwambiaga unapenda umbea ila vitendea kazi huna, kuna Moet Hennesy na Moet shampeni mwaka jana mimi niliuziwa kwa sh 45,000/= sijui kwa sasa maana mimi ni mtu wa bia hiyo niliagiza kwa ajili ya mtu maalum.
Sawa Matola nimekusikia unaniambiaga hivyo hivyoo kumbe bei ndogo tu nilidhan pesa nyingiiiiiiiiii
Hahaha alafu anajiita mtoto wa mjini hahaha
Hhhhaaaaa uulize pia inaleweshaaaa