Wolper kaamua kuolewa ili kutukomesha wambea

Wolper kaamua kuolewa ili kutukomesha wambea

View attachment 668356 namuona hana raha ,,ana furaha ya kuvaa shela tu,au karogwaa ,mchagua nazi sana mwisho hupata koro..
Huyu kaka kaangalia pembeni sura ngumu kweli akigeuka si tutakimbia mweee ndoa hizi kuolewa ili kuwaonesha watu ndio hayaa
Ila bora umeniachia Brown [emoji23][emoji23] lile body linaniua wallahView attachment 668360mgeoana na wolper mgependezeana zana
Mme mtarajiwa kakaa kama jambazi View attachment 668363 khaaa na miwani yake sasa kama lile jambazi lilivua viatu

Hivi kwanini unaependa akuoe hakuoi,unakuja olewa na yeyote tu hata hutarajii,huangalii sura wala nini twendee

Kila la kheri wolper na jambazi lako
Hawaanalii sura wanangalia mashine
 
Tunaomba wasibarikiwe mtoto wa kike na akiwa wakike afanane na mama yake mtt akifanana na ili jambazi ni hatari kwa kizazi kijacho
 
Jamani wolper kitu gani, dada kajala ni mzuli sana yaani mie huwa napenda kumwagilia anapotangaza washindi wa biko au wenzangu mnaonaje?
 
Some things in life are to let pass by..
 
Mapenzi ni ya wawili,kama wao wamekubaliana hakuna tatizo.
 
View attachment 668356 namuona hana raha ,,ana furaha ya kuvaa shela tu,au karogwaa ,mchagua nazi sana mwisho hupata koro..
Huyu kaka kaangalia pembeni sura ngumu kweli akigeuka si tutakimbia mweee ndoa hizi kuolewa ili kuwaonesha watu ndio hayaa
Ila bora umeniachia Brown [emoji23][emoji23] lile body linaniua wallahView attachment 668360mgeoana na wolper mgependezeana zana
Mme mtarajiwa kakaa kama jambazi View attachment 668363 khaaa na miwani yake sasa kama lile jambazi lilivua viatu

Hivi kwanini unaependa akuoe hakuoi,unakuja olewa na yeyote tu hata hutarajii,huangalii sura wala nini twendee

Kila la kheri wolper na jambazi lako
Wewe si una chaguo la moyo wako?
 
Wewe si una chaguo la moyo wako?
Yeaa
IMG_20180104_162027_686.JPG
 
Ila wolper angeuchuna tu mpaka ndoa maana yasijemrudia ha mkongo tena.

Mwisho wa siku kila mtu na chaguzi zake
 
Ila wolper angeuchuna tu mpaka ndoa maana yasijemrudia ha mkongo tena.

Mwisho wa siku kila mtu na chaguzi zake
Angekuja rusha picha washafunga ndoa
 
Back
Top Bottom