Wolper na Hamornize watibuana tena

Ukisema ulinganishe nani mzuri zaidi ya nani hata Huyo brown shoga nae mbaya kwa hemed,au jerry wa rymth.
So,mi siwezi sema mwanaume mbaya. Wanaume ha wako special kwa Ku identify uzuri.
Mwanaume Kazi,mwanaume ela, mwanaume mashine.
Uzuri wa hemedy hapana aisee,,mfano kuna yule wa mbeya mrefu mweupe huwa aliimbaga rizone yule kaka kakamilika sijui pale chini aisee pakoje,, izzo b nilimkuta hotel flan hivi kasimama mi nikapita huku najiuliza huyu kaka nishawah kumuona wapi ilibidi nigeuke tena ,,nikaenda zangu ,,baadae narudi tena pale hoteli nataka nikalale sasa nikaenda omba funguo maana room nilichukua siku hiyo hiyo nilikua na dada zangu wawili tulilala pale
Si nikaambiwa nenda room flan ndio yako umebadilishiwa room ipo wazi,,hee mara naenda fungua mlango haufunguki mara paap izzo akafungua mlango halaf yupo kifua wazi nilipatwa na ububu ghafla (zile lips,macho,mrefu ,mwili wa mazoezi,,)tukabaki tumegandiana macho mpaka sekunde zikapita ndio nikamuambia hapa room kwangu,nae akasema mbona nami wamenipa hiki hiki
Wewe maserati angenivuta mle ndani sijuii,,nikamuambia wewe ni mzuri asee nae akanijibu hata wewe karibu ndani,,nikamuambia asante,,
Nikarudi tena ndio nikapewa room nyingine loo mpaka jasho nilipatwa[emoji23][emoji23][emoji23] anavutia kweli aisee,usiku nililala namuona kile kifua[emoji41][emoji41][emoji23][emoji23]
 
Ina Mama Sabrina bwana eti sarah na sura yake ndeeefu!! [emoji16][emoji16][emoji16]
Angalia pic zake zote akipiga lazima ageuze uso ,ana sura kama michael Jackson alivyoanza haribika,,akitazama mbele ya kamera lazima awe na miwani mchunguze halaf ka lips sio org kale
 
Akipata bwana drama, wakiachana drama, na siku zote yeye ndio mwema ila anaoachana nao ndio wabaya.
Ukiona mtu analalamika kila siku anatendwa jiulize mara mbilimbili maana yawezekana yeye ni tatizo
 
Ukisema ulinganishe nani mzuri zaidi ya nani hata Huyo brown shoga nae mbaya kwa hemed,au jerry wa rymth.
So,mi siwezi sema mwanaume mbaya. Wanaume ha wako special kwa Ku identify uzuri.
Mwanaume Kazi,mwanaume ela, mwanaume mashine.
Hahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbn me sfa zote ninazo[emoji41] [emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…