witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ana sura mbaya??? Hujakutana na wenye sura mbaya ndugu yanguIla yule mkaka ana sura mbaya lakin ana kifua kizuri [emoji23][emoji23][emoji23]
Usoni wa kawaida tu ,si mbaya sana ahahahaYule ana sura mbaya??? Hujakutana na wenye sura mbaya ndugu yangu
Yaani sio mbaya harmonize kwa kweli.Usoni wa kawaida tu ,si mbaya sana ahahaha
Ka hamo kabayaa hahaha,,kamezidiwa na brownYaani sio mbaya harmonize kwa kweli.
Ukisema ulinganishe nani mzuri zaidi ya nani hata Huyo brown shoga nae mbaya kwa hemed,au jerry wa rymth.Ka hamo kabayaa hahaha,,kamezidiwa na brown
Mungu hakunyimi vyoteIla yule mkaka ana sura mbaya lakin ana kifua kizuri [emoji23][emoji23][emoji23]
Akipata bwana drama, wakiachana drama, na siku zote yeye ndio mwema ila anaoachana nao ndio wabaya.Sijui ni mtu mzima ovyo hata sielewi
Sijui ni lini atajitambua na aanze kuachana na mambo ya media
Uzuri wa hemedy hapana aisee,,mfano kuna yule wa mbeya mrefu mweupe huwa aliimbaga rizone yule kaka kakamilika sijui pale chini aisee pakoje,, izzo b nilimkuta hotel flan hivi kasimama mi nikapita huku najiuliza huyu kaka nishawah kumuona wapi ilibidi nigeuke tena ,,nikaenda zangu ,,baadae narudi tena pale hoteli nataka nikalale sasa nikaenda omba funguo maana room nilichukua siku hiyo hiyo nilikua na dada zangu wawili tulilala paleUkisema ulinganishe nani mzuri zaidi ya nani hata Huyo brown shoga nae mbaya kwa hemed,au jerry wa rymth.
So,mi siwezi sema mwanaume mbaya. Wanaume ha wako special kwa Ku identify uzuri.
Mwanaume Kazi,mwanaume ela, mwanaume mashine.
Angalia pic zake zote akipiga lazima ageuze uso ,ana sura kama michael Jackson alivyoanza haribika,,akitazama mbele ya kamera lazima awe na miwani mchunguze halaf ka lips sio org kaleIna Mama Sabrina bwana eti sarah na sura yake ndeeefu!! [emoji16][emoji16][emoji16]
Ukiona mtu analalamika kila siku anatendwa jiulize mara mbilimbili maana yawezekana yeye ni tatizoAkipata bwana drama, wakiachana drama, na siku zote yeye ndio mwema ila anaoachana nao ndio wabaya.
Hapana nilikuwa Zimbabwe mkuu
Kumbe shem kialachenja kaz yako kusifia wanaume hee? Huu mwak w 3 hujawah msifia kaka.. NakuscreenshotIla yule mkaka ana sura mbaya lakin ana kifua kizuri [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbn me sfa zote ninazo[emoji41] [emoji41]Ukisema ulinganishe nani mzuri zaidi ya nani hata Huyo brown shoga nae mbaya kwa hemed,au jerry wa rymth.
So,mi siwezi sema mwanaume mbaya. Wanaume ha wako special kwa Ku identify uzuri.
Mwanaume Kazi,mwanaume ela, mwanaume mashine.
Kaka yako yupiKumbe shem kialachenja kaz yako kusifia wanaume hee? Huu mwak w 3 hujawah msifia kaka.. Nakuscreenshot
Sent using Jamii Forums mobile app