ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
Kumenshinda kule [emoji23][emoji23][emoji23]Naona ndugu yangu hatimaye umekuja na wewe [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumenshinda kule [emoji23][emoji23][emoji23]Naona ndugu yangu hatimaye umekuja na wewe [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Inawezekana ni kikiWolper nae its about time akue sasa, aachane na hizi drama.
Au ni planned ili wimbo ukiki? Maana usafini sio wa kuwaamini.
Yaani anapenda maisha ya drama kama mtoto!!Inawezekana ni kiki
Ila hilo jambo la kukua sijui kama ataweza
Basi anaandika madongo anajisahau mahusiano yake huwa hayadumuNingemuona wolper wa maana asingemjibu aendelee na bff wake kujibishana kama hivyo bado wanapendana utoto tu
Kina sakayo bado wanakomaa[emoji23][emoji23]Kumenshinda kule [emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui ni mtu mzima ovyo hata sielewiYaani anapenda maisha ya drama kama mtoto!!
Ngoja niwaite huku linamo sakayo emmyta njoon huku basiKina sakayo bado wanakomaa[emoji23][emoji23]
Kaulize swali bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumenshinda kule [emoji23][emoji23][emoji23]
Kiki tu hiyo ya nyimbo yao mbona nasikia bado wanakulana tuBasi anaandika madongo anajisahau mahusiano yake huwa hayadumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kina sakayo bado wanakomaa[emoji23][emoji23]
Kaulize swali bhana
Kibibi gagula kama sie tu kila siku kujifanya kama mtoto tuSijui ni mtu mzima ovyo hata sielewi
Sijui ni lini atajitambua na aanze kuachana na mambo ya media
Labda linamo hao sakayo na emmyta na ney wapo busy na dictionary ujueNgoja niwaite huku linamo sakayo emmyta njoon huku basi
Hatutaki kuzeekaKibibi gagula kama sie tu kila siku kujifanya kama mtoto tu
Kwa hiyo anajifanyishaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wana kazi hao wapenzi wao wapyaKiki tu hiyo ya nyimbo yao mbona nasikia bado wanakulana tu
Kila siku age yao 22 to 25 haisogei kabisaHatutaki kuzeeka
Ila yule mkaka ana sura mbaya lakin ana kifua kizuri [emoji23][emoji23][emoji23]Ana genye tu Huyo hana lolote.
Wanatuchosha tu na kiki zaoKwa hiyo anajifanyishaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wana kazi hao wapenzi wao wapya
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]