Wolper na Kiben ten wake wameachana!!!

Hii nyimbo inaitwaje nimeikumbuka na kaimba nani..???nimekumbuka mbali sana
 
Mi nashangaa mchaga gani anakuwa na mambo ya ajabu.
 
Huyu ni Mama la Kujifunzia watoto, lakini bado ndogo akikongoloka ataacha, naona macho yanaanza kuwa na hanging valey tayari miaka mitatu mbele re-sura linatelemka pwaa, hapo inabidi akaooe yeye
 
S
Ukweli ambao hata wao wasingependa nyie muujue. Hakuna cha mahusiano hapo
Kumbuka ya Wema na Calisah
asa kiki, mmwingine apate jina na yeye achafuliwe jina wap na wap,
Jina langu lichafuliwe hivyo kisa kiki hapana mazee
 
Huyo wa heshma atampataje kama hajieshimu? Hawa Dada zetu bana bora nimeoa mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…